Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Zero ndo alimuingiza mkengeUongo huwa hauna umri wala Cheo, na ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupat
Na hili zigo lililofungashwa na mwendazake alitupilie mbali. linamharibia tuHuwezi jua hao waandishi wake walizoea kumlisha tango pori na ndo amewaweka benchi kiutuuzima
Ndiyo hivyo mkuuDu; sikujua hilo mkuu; thanks for reminder
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili weweUongo huwa hauna umri wala Cheo, na ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi...
Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani
Kwa utaratibu huu ambapo amelishwa matango pori na kuyabugia. Hiyo mikataba anayosaini vipi? Duh!Uongo huwa hauna umri wala Cheo, na ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi...
Bado swali langu ni kuwa, ikiwa Mimi raia wa kawaida tu najua wenzake na mbowe hawajafungwa, yeye raisi kashindwaje kujua pia? Hata taarifa ya habari haangalii? Magazeti hasomi?I wish ningekuwa Rais, nadhani ningewashughulikia wote walio nilisha matango pori. Yaani mmoja baada ya mwingine.
Tunaomba nakala ya hukumu yaoKwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Mitambo ya BBC haijui vizuri kiswahili, alichosema Hangaya ni sahihi hata chama cha CCM kilimpongeza.
Uongo huwa hauna umri wala Cheo, na ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya
Ila ma yeye hasomi magazeti Wala kuangalia taarifa ya habari? Ikiwa la wazi hivi kadanganywa vipi kuhusu Yale ya sirini huko kwenye mikataba?Zero ndo alimuingiza mkenge
Ndio hili nimeuliza, ikiwa Jambo la wazi hilo tunasema kaganganywa vipi kuhusu mambo ya Siri hasa kwenye mikataba?Kwa utaratibu huu ambapo amelishwa matango pori na kuyabugia. Hiyo mikataba anayosaini vipi? Duh!
Kwamba Mh Rais ni sehemu ya Mchongo ?Kwani yeye Samia alikuwa anaishi nchi hipi, mpaka kudanganywa?acheni propaganda za kitoto Samia anajua kila kitu
Acheni propaganda za kitoto,hivi unawezaje kumdanganya rais wa Nchi? Samia anajua kila kitu kinachoendelea acha kuwabebesha mizigo Watu wengine
Kaitafute mahakamani unataka mimi ndiyo nikuletee hangaikeni tu na hilo gaidi lenu kwanzaTunaomba nakala ya hukumu yao
[emoji38][emoji38] nilijua tu utakwamakaitafute mahakamani unataka mimi ndiyo nikuletee hangaikeni tu na hilo gaidi lenu kwanza
siyo kukwama hivi kweli hata kama hujui kabisa watu walikuwa saba kiatala kauliza akajibiwa ndiyo sasa wapo wanne wengine wako wapi? nakwama nini sasa? hebu nijibu wanne wapo wapi?[emoji38][emoji38] nilijua tu utakwama
Msichojua ni kwamba Raisi ndiyo injia wa hili jambo, ukweli wote anaujua na ni mpango wa raisi na vyombo vyake kuhakikisha Mbowe anabaki ndani hata kama ni katika mzingira ya uonezi. kwasababu uwezo wa Mbowe wa kufanya siasa amewazidi kwa mbali sana hawa CCM.I wish ningekuwa Rais, nadhani ningewashughulikia wote walio nilisha matango pori. Yaani mmoja baada ya mwingine.
Vile vile walimwambia Mh Rais kuwa Mbowe alienda nje kwa kutoroka asikamatwe wakati Mbowe aliondoka kwa ruhusa ya RCO Oysterbay huku akiendelea kuripoti kituo cha polisi kwa sheria na taratibu.
Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .
Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .
Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .
Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?
View attachment 2120063
Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani
na hicho ndicho tulichotaka kithibite wazi aumbuke yeye na team yake.Msichojua ni kwamba Raisi ndiyo injia wa hili jambo, ukweli wote anaujua na ni mpango wa raisi na vyombo vyake kuhakikisha Mbowe anabaki ndani hata kama ni katika mzingira ya uonezi. kwasababu uwezo wa Mbowe wa kufanya siasa amewazidi kwa mbali sana hawa CCM.
niwakumbushe tu; Taifa letu kwa sasa lipo kwenye mapito magumu sana miaka mitano ya Magu na hata sasa na siku za usoni tutaendelea kupita kwenye hili tanuri mpaka wanachi watakapo amua kusema basi (japo ccm hawaogopi kuiba haki ya wananchi inayopitia box la kura), vinginevyo hakuna namna tutatoka katika hili giza. Mara nyingi tumeshuhudia viongozi wakubwa kabisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiongea waziwazi juu ya mahaba yao na CCM hata kama ni kwa kuvuja sheria ama kukiuka dhamana za viapo vyao, na hii yote ni kwamba wameamua kuliteketeza taifa kwaajili ya maslahi ya kundi dogo la watu waliyoshindwa kufanya siasa za kistaarabu.