Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,917
Mbona alipolibananga bunge kwa kumkaripia spika mlishangilia?Kwa nchi za wenzetu yangeandaliwa maandamano ya kumg'oa kwa kutoa taarifa za uongo na kuingilia uhuru wa mahakama, hii ilikuwa kashifa kubwa sn kwa mhimili moja
Zero brain.uoni hata aibu.Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Kusema ukweli nimesikitika kwa hili lililotokea kwa Rais wetu. Natamani Rais akija afanye jambo kwa wote waliofanya hadi akautangazia ulimwengu vile.....
Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .
Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .
Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .
Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?
View attachment 2120063
Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
Kumbe saizi sio Rais wenu?😀Sasa si atoe amri ya kuachiwa? Si uwezo huo anao?
Alafu huyu rais wenu kwanini ni mwepesi namna hii? Kama anadanganywa kwa vitu vidogo namna hii vipi vile vikubwa?
Mtu ukiwa na uwezo wa kawaida hutakiwi kuwa mbishi au kukurupuka. unatakiwa kupewa ushauri sehemu nyingi ili ikusaidie kufanya maamuziMama nae ni mbishi!
Ni Ujinga mtupu unaojitahidi kueleza. Siro sio mpelelezi wa kesi na hajui chochote ndio maana jamuhuri haija muweka bwana zero Kama shahidi.Kabla haujaandika makala ulitakiwa ujue ugaidi ni nini na kesi za ugaidi ni zipi... Then ukue siro aliulizwa swali gani na katika mazingira gani na uyo mahakamani anaulizwa swali gani ja katika mazingira gani.
Issue za ugaidi sio kama kesi za kuiba kuku...
Ugaidi na kuuwa kwa kutumia silaha unajua kama ni kesi tofauti kabisa ingawaje zoote zinaweza sababisha mauaji ?????
Kwa yeye ni robot, aliambiwa Jambo moja kwa moja anaamini? Mbona magazeti natv kila Mara walikua wakireport?Kusema ukweli nimesikitika kwa hili lililotokea kwa Rais wetu. Natamani Rais akija afanye jambo kwa wote waliofanya hadi akautangazia ulimwengu vile.....
View attachment 2120175
Unataka kusemaje mkuu....fafanuaKwa yeye ni robot, aliambiwa Jambo moja kwa moja anaamini? Mbona magazeti natv kila Mara walikua wakireport?
naomba kwa heshima na taadhima uende youtube sikiliz mazungumzo ya Furaha Dominic na Nyanda wa Star tv. Ndio utajua hii nchi ikojeNarudia tena hauwezi kumdanganya rais hata Siku Moja, Rais anavyanzo vingi vya tarifa hivo hauwezi kumdanganya,hata Kama alidanganywa sasahivi ameisha jua ukweli Mbona hatuoni akimwachilia?
Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .
Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .
Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .
Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?
View attachment 2120063
Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
Kwa yeye ni robot, aliambiwa Jambo moja kwa moja anaamini? Mbona magazeti natv kila Mara walikua wakireport?
Ana umbuka vipi sasa na wakati atakuwa katimiza lengo?.Kifupi ni kwamba Mbowe ilikuwa ni lazima akae kizuizini ili kupisha serikalini mpya na iliyoingia madarakani kwa ghafla na yeye akaanza kuichanganya na mambo ya katiba.Tambueni tu kuwa siasa ni sayansi.na hicho ndicho tulichotaka kithibite wazi aumbuke yeye na team yake.
Kumbuka siasa ni sayansi,kitendo cha Mbowe kukalishwa mahabusu kwa mwaka mmoja tu ni kutimia kwa lengo la serikali.Lengo la serikali lilikuwa ni kuondoa buguza katika kipindi kigumu cha mpito kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa Rais na kiti chake kukaliwa na mama.nina uhakika huyu mama hakudanganywa na mtu. Bali uwezo wake uliishia hapo.Si unaona hata mambo basic kwenye katiba hayajui?!