Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

[emoji23][emoji23][emoji23]Mbowe akiachiwa leo utashangaa bavicha wanashangilia kwamba wameichachafya selikali!
 
Serikali imetimiza lengo la kumnyamazisha Mbowe ili kupisha serikali mpya ya mama ijipange.Mwaka mmoja au na zaidi Mbowe akiwa mahabusu,ni ushindi kwa serikalini.Siasa ni sayansi.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbowe akiachiwa leo utashangaa bavicha wanashangilia kwamba wameichachafya selikali!
Tatizo wanadhani siasa ni kama kula ugali unachukua tonge na kulipeleka mdomoni,kumbe siasi ni mbinu na akali nyingi.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ila Chifu Mkuu alikuwa anatoa habari pale BBC kwa uhakika na matao kama kweli vile!😝😝😝😝
Wanawake wa kiarabu hawajawahi kupewa akili. Wanachojua nikubana sauti na kurembua. Na kuolewa mitala.. ndio sababu Siro anamfanya ananavyotaka:
Kama Taifa tumeingizwa cha kike mazima.
 
Serikali imetimiza lengo la kumnyamazisha Mbowe ili kupisha serikali mpya ya mama ijipange.Mwaka mmoja au na zaidi Mbowe akiwa mahabusu,ni ushindi kwa serikalini.Siasa ni sayansi.[emoji3][emoji3][emoji3]
Kama wewe ni sehemu ya walio mshauri Rais huu ujinga basi haina akili. Hivi unajua kupitia hii kesi MBOWE amekuwa mpya kwenye siasa!!, Wamemjenga kisiasa bila kujua.

Na kwa taarifa zako waliomshauri hili wote wamewekwa kitomoto.
 
Walihukumiwa na mahakama ipi mkuu? Au dpp siku hizi ana mamlaka ya kuhukumu?
 
Kama wewe ni sehemu ya walio mshauri Rais huu ujinga basi haina akili. Hivi unajua kupitia hii kesi MBOWE amekuwa mpya kwenye siasa!!, Wamemjenga kisiasa bila kujua.

Na kwa taarifa zako waliomshauri hili wote wamewekwa kitomoto.
Hivi huwa mnaishi nchi gani?Kifupi huku uswahilini hiyo kesi wala haijulikani.
 
Tatizo wanadhani siasa ni kama kula ugali unachukua tonge na kulipeleka mdomoni,kumbe siasi ni mbinu na akali nyingi.[emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona mnaanza kukiri wenyewe kuwa kesi ni ya mchongo?Serikali dhalimu pekee ndio huweza kutenda aliyotendewa Mbowe na hao makomandoo!
Imagine familia za hao makomandoo zilivyoathirika Kwa zaidi ya mwaka,kisa tu siasa majitaka!Yaani Ili kutimiza malengo,Unaumiza hata raia wengine wasiohusika na michezo yenu michafu ya kisiasa!Dhambi hii italipwa!
 
Majinga hayo na Chui jike lao achana nao
 
Wanawake wa kiarabu hawajawahi kupewa akili. Wanachojua nikubana sauti na kurembua. Na kuolewa mitala.. ndio sababu Siro anamfanya ananavyotaka:
Kama Taifa tumeingizwa cha kike mazima.
Aiseee !!!
 
Basi vivohivyo mjue pia kuwa Raisi anadanganywa vitu vingine pia..

Acha inyeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…