Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kwa hiyo unataka kufikisha ujumbe gani kwa Gen Z wa Tanzania?Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Na wao wachukue bunduki wamlenge "Maza"?
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuu hakuna mwenye uwezo huo