Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
Wapo gen z wakikasirika wanachoma picha ya rais.Kwani Tz kuna Genz ,😁 huku kuna machawa Genz wapo kenya tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo gen z wakikasirika wanachoma picha ya rais.Kwani Tz kuna Genz ,😁 huku kuna machawa Genz wapo kenya tuu.
Magaidi wa hamasi wangempiga Biden na sio trump ambaye hahusiki na chochote kinachofanywa na serikali ya USA kwa kipindi hiki.Watakuwa Magaidi wa Hamas Marekani hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi msitake kupotosha dunia.
Wezi wa Kura mnaogopa nini?Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Mimi pia hilo nimelifikiri kuwa yawezekana muhusika katumwa na watu wa trump mwenyewe na trump mwenyewe alijua kuwa tukio hilo litatokea iwe kapata kiki katika kampeni zake.Inawezekana dogo hakutumwa wala nn, wamarekani wana uwendawazimu mkubwa sana, ile tu kuwa alihusika kumpiga mgombea urais risasi ni sifa kwake hata akiwa kuzimu.
Kwani haiwezekani pia kuwa trump anatafuta kura za huruma kutoka kwa wamarekani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gen Z wa bongo anasubir tshrt na kofia ya kijan
😂😂😂😂ulaya kijana anaanzia miaka 15
marekani kijana anaanzia miaka 16
Tanzania kijana anaanzia miaka 25 😃😃😃😃😃😃
CCM OYEEEEEE 😃😃😃😃
Mimi nakubaliana na wewe siungi mkono ufujaji wa pesa na kujikwaza lakini je tuna mbadala? kuondoka mmoja na kuleta mwingine hakuna maana ndio utafanikiwa. Hata CCM hawa hawa kuna awamu watu alifurahia kuliko zingine. Kitu pekee siungi mkono fujo hilo hapana lakini pia nchi za Africa yamefanyika sana mabadiliko wengine kupinduliwa ila kuna nchi yoyote imebadilika kiasi cha kusema yes..... Nchi za kiarabu zilipitia huko je ilileta tija? jibu NOPia na waliopewa madaraka wayatumie vizuri kwa wanaowaongoza mavyeo kujikusanyia mahela ya wizi viburi na majivuno ya vina mwisho wake .Wananchi ni watu wema sana ila wanaowaongoza baadhi busara imewapungukiwa.
Nilijua utaweka suala la ugaidi kujustify mambo yenu.Watakuwa Magaidi wa Hamas Marekani hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi msitake kupotosha dunia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Tz ni machawa na wengine upinde ujinga mtupuu
Wewe si mke wangu lazima ujue.Nilijua utaweka suala la ugaidi kujustify mambo yenu.
Dini ni bangiWewe si mke wangu lazima ujue.
Kura zinaibwa duniani kote 😄Wezi wa Kura mnaogopa nini?
Magaidi wamuue trump kwa kosa gani wakati kwa Sasa sio kiongozi wa serikali?!. Ingekuwa kajeruhiwa Biden hapo kweli tungewashuku magaidi wa hamasi lakini kwa hili ni kama yule kijana aliyempiga kofi Mzee rukhsa hatuwezi kusema kwamba alitumwa na watu Fulani afanye aliyoyafanya.Watakuwa Magaidi wa Hamas Marekani hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi msitake kupotosha dunia.
Sasa unadhani nani kama siyo Hamas? Marekani wamestarabika hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi wa Hamas.Magaidi wamuue trump kwa kosa gani wakati kwa Sasa sio kiongozi wa serikali?!. Ingekuwa kajeruhiwa Biden hapo kweli tungewashuku magaidi wa hamasi lakini kwa hili ni kama yule kijana aliyempiga kofi Mzee rukhsa hatuwezi kusema kwamba alitumwa na watu Fulani afanye aliyoyafanya.
Ndio maana hapa kwetu kwenye kisiwa Cha amani na utulivu chini ya serikali ccm inayoongozwa na mh rais mama Samia Suluhu PhD imezuia kabisa kuingiza na Kutumia bunduki za toys (midoli) na zile zilizopo zikusanywe mara Moja kituo Cha polisi Cha karibu YakoView attachment 3041921
Manchurian candidate anachongwa.
Punguza umakuziSasa kama upigaji ni 50% siyo matumbo yao?