Aliyemshoot Trump ni Gen Z wa USA Thomas Methew Crooks miaka 20, nimeogopa sana 🐼

Aliyemshoot Trump ni Gen Z wa USA Thomas Methew Crooks miaka 20, nimeogopa sana 🐼

Hii ni michezo tu sawa na ule wa Area C.
Ipo hivi ukitumwa ukatoe uhai wa kiongozi nyuma yako pana watu wamepangwa kutoa uhai wako baada ya mission ili kuficha ushahidi kwani ukiacha hai utatema siri so unalaghaiwa kwa kulipwa pesa za kazi zote nyingi ili ujae baada ya kuuliwa pesa inarudishwa.
Thus hizi mission ni wapumbavu pekee ndio huwa wanatumwa.
Sawa na ile ya Area C wengi walimalizwa baada ya mission wakakosa vyote.
 
Mimi nakubaliana na wewe siungi mkono ufujaji wa pesa na kujikwaza lakini je tuna mbadala? kuondoka mmoja na kuleta mwingine hakuna maana ndio utafanikiwa. Hata CCM hawa hawa kuna awamu watu alifurahia kuliko zingine. Kitu pekee siungi mkono fujo hilo hapana lakini pia nchi za Africa yamefanyika sana mabadiliko wengine kupinduliwa ila kuna nchi yoyote imebadilika kiasi cha kusema yes..... Nchi za kiarabu zilipitia huko je ilileta tija? jibu NO
Watu wanashindwa kujifunza kwa yaliyotokea Sudan na Libya. Libya walitaka demokrasia.
Gadafi kafa na hadi Leo hakuna demokrasia. Watu wameishia kuwa wakimbizi. Hali ndiyo hiyohiyo Sudani hadi Leo watu wanakimbia tu. DRC na M 23 ni vurugu tupu. Nashangaa sana mtanzania anayetamani TZ tuwe kama Libya , Siria , DRC na Sudani na Sudani kusini, maanake kote huko ni kuuana kila siku na wale wanaopata nafasi ya kukimbia ndoa huishia kuwa mkimbizi katika nchi zenye amani. Nadhani Kuna watu wanadhani kuitwa MKIMBIZI ni cheo kizuri ambacho kinatamaniwa.
 
Sasa unadhani nani kama siyo Hamas? Marekani wamestarabika hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi wa Hamas.
Umeambiwa Marais wanne wa marekani waliuawa kwa risasi ikiwa pamoja na rais Lincolin na Kennedy , je hao pia waliuawa na hamas?! Chuki dhidi ya waarabu na waislamu inawafanya mzungumze mambo ambayo hata mtoto mdogo anaweza gundua kwamba mnasukumwa na mihemko pasi na kutumia akili vizuri. Ugaidi hauna dini Wala Kabila Wala taifa maalumu. Mtu yeyote ambaye akili yake imevurugwa anaweza ua watu kwa visingizio ambavyo yeye anaona ni sababu za msingi.
 
Kijana wa miaka 20 huko majuu huwezi kumfananisha na utopolo wa Bongo.

Hao wanajielewa sana sana
Kupata MTU Rossi NDIYO kujielewa?
Ningemsifu KAMA ANGE-hack ntandao wa BENKI na kuiba mabolllion YA dollar
 
Sasa unadhani nani kama siyo Hamas? Marekani wamestarabika hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi wa Hama
Wakati rais wa 16 wa marekani anauawa hapakuwepo duniani kitu kinaitwa hamas Wala palestina. Tunazungumzia miaka ya 1800 kipindi ambacho nchi nyingi za kiarabu zilikuwa chini ya Othman empire na nyingine zikiwa makoloni ya waingereza . Kipindi hicho kabla ya vita ya Dunia kabla balaa kuu la umoja wa mataifa halijaundwa. Unaposema wamerekani hayo mambo ya kupigana risasi hawana hivyo trump kashambuliwa na hamas unaweza kufafanua hao Marais wengine wa America waliopigwa risasi waliuliwa na nani?!.
 
ulaya kijana anaanzia miaka 15
marekani kijana anaanzia miaka 16
Tanzania kijana anaanzia miaka 25 😃😃😃😃😃😃

CCM OYEEEEEE 😃😃😃😃
Mkuu,hii ya Tanzania kijana kuanzia na miaka ishirini na tano,imeanza lini ?
 
Wakati rais wa 16 wa marekani anauawa hapakuwepo duniani kitu kinaitwa hamas Wala palestina. Tunazungumzia miaka ya 1800 kipindi ambacho nchi nyingi za kiarabu zilikuwa chini ya Othman empire na nyingine zikiwa makoloni ya waingereza . Kipindi hicho kabla ya vita ya Dunia kabla balaa kuu la umoja wa mataifa halijaundwa. Unaposema wamerekani hayo mambo ya kupigana risasi hawana hivyo trump kashambuliwa na hamas unaweza kufafanua hao Marais wengine wa America waliopigwa risasi waliuliwa na nani?!.
Daaah inaonekana mgeni hili jukwaa au humfahamu vizuri Ritz usingejibu.
 
Back
Top Bottom