Aliyemshoot Trump ni Gen Z wa USA Thomas Methew Crooks miaka 20, nimeogopa sana 🐼

Aliyemshoot Trump ni Gen Z wa USA Thomas Methew Crooks miaka 20, nimeogopa sana 🐼

Yaani hao jamaa wa marekani unawaita watoto wako? Ukimaanisha ni wapo na haiba moja na vijana wa kitanzania?
Hao wapuuzi wanaishi maisha tofauti sana ukilinganisha na huku Africa. Wengi wamelelewa na mzazi mmoja wasiyemuheshimu, hawazijui shida za maisha na ndio sababu wanashinda mitandaoni, wanaishia kufuata ideologies kutokana na matatizo ya akili, upweke na depression. Na kwakuwa silaha zimejaa kama njugu huko kwao, matokeo yake ni wanaenda kufanya mambo ya ajabu na kumaliza hasira zao kwa kutandika risasi wanafunzi shuleni, madukani, kwenye movie theaters au kama hivyo, wanambutua mgombeaji risasi za kichwa.

Those motherfukers are mentally fuked up. Ni circumstances na matokeo ya kimazingira na tamaduni. Tofauti na huku kwetu kwenye umasikini, vijana umri wa huyo mshenzi wapo shule ili kukomboa umasikini wa familia na kusaidia wazazi wao wanaoanza kuchoka. Kama sio hivyo basi ni kibaka, mvuta bangi anayebeba taka. Yaani mtu aache kutafuta hela ya kula aanze kumfikiria kiongozi fulani anafanya nini, atafute silaha tena bunduki ili ammalize? Hiyo ni movie huku kwetu.

Kumuita mwanao huyo mzungu ni kama Bata kuzaa Popo aneyetaga.
 
Kijana wa miaka 20 huko majuu huwezi kumfananisha na utopolo wa Bongo.

Hao wanajielewa sana sana
Unadhani mtu anayechukua maamuzi ya kuua mtu anajielewa? Unafahamu kwamba kijana wa miaka 20 Tanzania anahangaika na shule ili aje kusaidia familia yake masikini ambayo inamchukulia kama tegemeo lao.

Kutokana na ulichokiandika uko sahihi.
 
yule ukichunguza sana unaweza kutaa trump.aliidhinisha kunyongwa mmoja aa ndugu zake siohivihivi
 
Miaka 20 wa hapa bongo bado anakumbushwa kupiga mswaki asubuhi.
Acha kufikiria kwa kutumia kisigino wewe mmatumbi. USA inaongoza kwa watu wenye matatizo akili. Wewe unamuona mzima huyo mpuuzi? Huyo ni suicidal depressed maniac. Wtf unaongea.
 
Kijana mjinga analipwa anaenda kufanya shambulizi , hata hizo pesa hawezi kuzitumia kama asingekufa angeozea jela.
Inashangaza kuona hawa wananchi wakisema huyo dogo anajielewa ukilinganisha na wao. Na kwa wanayoyaandika inaonesha wako sahihi.

Kwamba huyo mpuuzi ana akili kushinda wao kwa kudhani ana akili.
 
Hakuna mtu aliyemtuma, Wamarekani wamelelewa kwenye mazingira ya mtu kufanya kitu kwa uhuru wake...

Kilicholegalega hapo kwenye tukio zima ni idara za ushushushu kushindwa kujua uwepo wa mdunguaji eneo karibu na huo mkusanyiko, ukichukulia alijiweka juu ya jengo mahali panapoonekana kabisa...
Kufanya vitu kwa uhuru wao ikiwemo kushoot watu kwenye theaters sababu ya kuwa inspired na movie? Kushoot watu madukani sababu ni weusi? Na kushoot waoto shuleni kwa sababu zisizojulika?
Hakuna kitu kama hicho.

Marekani ndio wanaongoza kwa watu wenye mental illness, depression, anxiety, OCD, PTSD, paranoia, hallucinations, dillusions... nk.

Huyo mpuuzi ni depressed suicidal maniac. Hakuna mtu mwenye akili zake timamu anaweza kujitoa sadaka kama hivyo.
 
Siku moja mwaka jana alialikwa mzee wasira kwenye hafla fulani akasema sisi vijana lazima tupambane, nikajisemea kama Gen z yetu ni akina wasira ngoja tuvumilie tu
 
Gen Z wa Tanzania wanachoweza kufanya ni kuchoma picha ya rais tu basi hakuna kingine wanachoweza!
Sababu vijana wa kitanzania wanajua thamani ya maisha yao na familia zao. Acha kuongelea mambo yaliyokuzidi kimo wewe mmatumbi kutoka tatahimba.

Kama haujali kuhusu maisha yako au familia yako basi nenda magogoni pale hata na kiberiti tu.
 
Sababu vijana wa kitanzania wanajua thamani ya maisha yao na familia zao. Acha kuongelea mambo yaliyokuzidi kimo wewe mmatumbi kutoka tatahimba.

Kama haujali kuhusu maisha yako au familia yako basi nenda magogoni pale hata na kiberiti tu.
Script kiddies
5dc83cf71e4a9.jpeg
 
Back
Top Bottom