Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kwa hiyo unataka kufikisha ujumbe gani kwa Gen Z wa Tanzania?Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Ona aibu basi.Hivi nini hasa mnataka? mnataka fujo mitaani au? kila kitu kama wa Kenya mbona msilikuwa nao hao Genz Panya road si mlikuwa mnalia kila siku. Kufanya fujo ndio imekuwa sifa. Yes Tz ina Genz lakini wanajielewa hakuna sehemu ufanye fujo halafu uachwe salama. Kama unawapenda Genz Kenya hamia tu hakuna hata visa free, Tz ni nchi ya amani hatuna ujinga huo. Fanya kazi hasira za maisha zisikufanye ukose busara tu.
Hata aliyetaka kum shoot mwaka 2016 na yeye ni 20 years oldTuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Pia na waliopewa madaraka wayatumie vizuri kwa wanaowaongoza mavyeo kujikusanyia mahela ya wizi viburi na majivuno ya vina mwisho wake .Wananchi ni watu wema sana ila wanaowaongoza baadhi busara imewapungukiwa.Hivi nini hasa mnataka? mnataka fujo mitaani au? kila kitu kama wa Kenya mbona msilikuwa nao hao Genz Panya road si mlikuwa mnalia kila siku. Kufanya fujo ndio imekuwa sifa. Yes Tz ina Genz lakini wanajielewa hakuna sehemu ufanye fujo halafu uachwe salama. Kama unawapenda Genz Kenya hamia tu hakuna hata visa free, Tz ni nchi ya amani hatuna ujinga huo. Fanya kazi hasira za maisha zisikufanye ukose busara tu.
π₯ΈYes Tz ina Genz lakini wanajielewa hakuna sehemu ufanye fujo halafu uachwe salama.
Miaka 20 wa hapa bongo bado anakumbushwa kupiga mswaki asubuhi.Kijana wa miaka 20 huko majuu huwezi kumfananisha na utopolo wa Bongo.
Hao wanajielewa sana sana
π€£π€£π€£π€£Gen Z wa Bongo bado yupo shule saa hii, anafundishwa Contemporary Cross-Cutting Issues, Life Skills, The rise of Capitalism in Europe na Rise of Democracy in Europe!
Ondoa wasiwasi mkuu!
Acha uchokozi, GenZ wa Kenya wamefanya jambo jema kuirudisha nchi yao kwenye reli, nyie mmezoea ufisadi kiasi mnausifu.Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Hebu weka hapa picha ya makalio yako ili niweze kureply Post yako.Hivi nini hasa mnataka? mnataka fujo mitaani au? kila kitu kama wa Kenya mbona msilikuwa nao hao Genz Panya road si mlikuwa mnalia kila siku. Kufanya fujo ndio imekuwa sifa. Yes Tz ina Genz lakini wanajielewa hakuna sehemu ufanye fujo halafu uachwe salama. Kama unawapenda Genz Kenya hamia tu hakuna hata visa free, Tz ni nchi ya amani hatuna ujinga huo. Fanya kazi hasira za maisha zisikufanye ukose busara tu.
tatizo lenu mnataka kufia na madaraka kama ccmTuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Sasa kama upigaji ni 50% siyo matumbo yao?Sgr,barabara, hospital na irrigation schemes ni kwa ajili ya matumbo yao
Bila kutaja mabwana zako hamas husikii raha kabisa. Haya nenda ukaolewe na Sinwar mke wa piliWatakuwa Magaidi wa Hamas Marekani hawawezi kufanya hivyo hao ni magaidi msitake kupotosha dunia.
Bora hapo kwenye kuanzia, kijana wa tz hana ukomo.....Nape, mbowe, makamba hawa wote ni vijanaulaya kijana anaanzia miaka 15
marekani kijana anaanzia miaka 16
Tanzania kijana anaanzia miaka 25 ππππππ
CCM OYEEEEEE ππππ
Dunia itakuwa mahali salama,endapo tutaheshimuana kwa kuwepo usawa,bila matabaka ya wenye nacho wasio nacho,walio wezi wakodi za walipa kodi na wasio wezi na pia kutambulika na kuthaminiwa wavuja jasho ambao ndio walipa kodi na wazalendo wa kweli.π«Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Hakika uko vizuri kama unayajua na mambo ya manchurian candidate. Haya mambo yalianzaga na ma project kama za MK ultra. hatari sana.View attachment 3041921
Manchurian candidate anachongwa.
Si huwa tunaambiana kina Nape ni vijana?ulaya kijana anaanzia miaka 15
marekani kijana anaanzia miaka 16
Tanzania kijana anaanzia miaka 25 ππππππ
CCM OYEEEEEE ππππ