Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bila shakaHuyu dogo amepewa huo mstari ausome kama ulivyo, sijui kama hata yeye mwenyewe ameuelewa
πππππMamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari.
Lakini wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari.
Nini ambacho hujaelewa hapo?
Watajenga misikiti, hayo mengine hatuhusu sisi watoto Haram wa nabii ibrahimNini ambacho hujaelewa hapo?
Statement yote haielewekiNini ambacho hujaelewa hapo?
Mdogo atamtawala mkubwa kwa bakuli la Dengu πππMamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari.
Lakini wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari.
Unaona kabisa hata kwenye picha lips zake zinashindwa kuamini kama anaongea sahihi au la
DaaahUnaona kabisa hata kwenye picha lips zake zinashindwa kuamini kama anaongea sahihi au la
Hawa watu ni rubbish tupu with rabid minds
Wewe umeelewa nini utueleweshe?Nini ambacho hujaelewa hapo?
ππππWewe umeelewa nini utueleweshe?