TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Kama waliamua kuileta hadharani ili kupata ridhaa ya wananchi basi wangefanya hivyo lakini sio unafiki walioufanya bora hiyo iliyopita kifisadi kuliko huu unafiki ulofanya na awamu ya sita kujifanya wanashirikisha wananchi kumbe changa la macho ndio mana nasema haitokuwa tofauti na miradi iliyopita na kulaumiwa na wananchi sasa so msimamo bado uko pale pale DP ni kaa la moto tutarudi hapa nakwambiaMauzo ya Almasi Mwadui yalipata ridhaa ya wananchi. Gesi Mtwara, Dhahabu, makaa ya mawe, SGR, Bwawa la Nyerere na ............na ..........na............
Binafsi sijawahi kutoa au kupewa fursa ya kutoa ridhaa ya miradi yote mikubwa ya serikali. Leo hii sauti zinatoka wapi.....? Au dhambi ni Rais Samia kuweka vitu hadharani!