Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe umeelewa nini utueleweshe?
😆😆😆😆😆😆Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia
Aiseeee !!Watawala waliopita walipiga ila hichi kibibi kimezidi.
Bado hamjasema....na mtasema ikifika 2030Watawala waliopita walipiga ila hichi kibibi kimezidi.
Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!Mamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari.
Lakini wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari.
Umeusoma Mkataba wa DP WORLD na Bandari ya Tanzania ?Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!
Pili, maelezo ya Mkurugenzi yanalengo ya kukazia na kutupilia mbali maelezo, eti DP World inamiliki mpaka bandari za Ziwa Tanganyika. viktoria na malawi. Mtaelewa tu!
SiO Lazima wote muelewe ndugu slow learner"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje ambaye tutakubaliana naye."
- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa
Muendeshaji anachangia Sh ngapi kwa mwaka?Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia
Kwahiyo Bandari zitaendeshwa na Dp World lkn ulinzi na usafi ndiyo utasimamiwa na TPA?Mamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari kama ilivyotumia huduma za DP.
Haimaanishi kampuni ya usafi, ulinzi na mengine sasa yamekuwa mamlaka ya Bandari na yanaiondoa katika udhibiti na usimamizi.
Wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari kama top authority
Huyu dogo amepewa huo mstari ausome kama ulivyo, sijui kama hata yeye mwenyewe ameuelewa
😆😆😆Kwahiyo Bandari zitaendeshwa na Dp World lkn ulinzi na usafi ndiyo utasimamiwa na TPA?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mdogo atamtawala mkubwa kwa bakuli la Dengu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao DP World siyo Akina Karamagi ujue [emoji209]
Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia