Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

Mamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari.

Lakini wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari.
Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!

Pili, maelezo ya Mkurugenzi yanalengo ya kukazia na kutupilia mbali maelezo, eti DP World inamiliki mpaka bandari za Ziwa Tanganyika. viktoria na malawi. Mtaelewa tu!
 
Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!

Pili, maelezo ya Mkurugenzi yanalengo ya kukazia na kutupilia mbali maelezo, eti DP World inamiliki mpaka bandari za Ziwa Tanganyika. viktoria na malawi. Mtaelewa tu!
Umeusoma Mkataba wa DP WORLD na Bandari ya Tanzania ?
 
Wazungu wanasema "Time will tell" wakimaanisha "Muda utaongea" hili suala la DP world hakina baraka ya watanzania haliwezi kuwa na matokeo chanya kamwe.

Mungu atupe uzima tutakuja kuambizana hapa hapa JF

Mama abdul na serikali yake wamefanya maamuzi yao bila kuwashirikisha wananchi
 
"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje ambaye tutakubaliana naye."

- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa
SiO Lazima wote muelewe ndugu slow learner
 
Mamlaka ya Bandari haijafutwa, hii haiondoi ukweli kwamba mamlaka hiyo ina uwezo wa kutumia huduma za taasisi tofauti, kwa mfano makampuni ya ulinzi, usafi, ukarabati wa vifaa kama A.C., au hata utoaji huduma wa sehemu ya bandari kama ilivyotumia huduma za DP.

Haimaanishi kampuni ya usafi, ulinzi na mengine sasa yamekuwa mamlaka ya Bandari na yanaiondoa katika udhibiti na usimamizi.

Wote wanawajibika kwa mamlaka ya bandari kama top authority
Kwahiyo Bandari zitaendeshwa na Dp World lkn ulinzi na usafi ndiyo utasimamiwa na TPA?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Mi huwa siwaelewi kabisa serikali yangu , wananchi tupo zaidi ya M60
Lakini ni lazima tuite watu wa nje ndio watufanyie mambo yetu ya uchumi , hii sio sawa , na ndio maana tunabaki kuwa maskini wa kutupwa ili hali nchi yetu ni tajiri wa kutupwa !
Mungu atusaidie ipo siku tutaamka kutoka usingizi tuliolala !
 
Anayemiliki TPA ndiyo mwendeshaji wa TPA halafu wawekezaji wote wa ndani ya nchi na nje ya nchi wa TPA wao si waendeshaji bali wabia

Sasa Kama ni wabia , then wao wamewekeza bei gani ,na wanapata asilimia ngapi ,na sisi tunapata asilimia ngapi ,na mgao wa ajira ukoje , na vifaa vinavyotumika vina ubora gani ?
Watuambie !
 
Back
Top Bottom