Mr Mwabange
Member
- Jul 30, 2015
- 66
- 55
Watawala waliopita walipiga ila hichi kibibi kimezidi.
Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!
Pili, maelezo ya Mkurugenzi yanalengo ya kukazia na kutupilia mbali maelezo, eti DP World inamiliki mpaka bandari za Ziwa Tanganyika. viktoria na malawi. Mtaelewa tu!
Ni kweli. Nafikiri wengi hawaelewi kazi ya TPA. Kwenye suala la bandari, watanzania tulikuwa watupu sana. Huu mjadala wa DP World ndio umetufungua kidogo, lakini safari ya ueleo bado ndefu. Tuendelee kuifahamu TPA si tu katika mitandao bali katika vitini vya TPA au serikali. Mwambukusi atakupotosha!
Pili, maelezo ya Mkurugenzi yanalengo ya kukazia na kutupilia mbali maelezo, eti DP World inamiliki mpaka bandari za Ziwa Tanganyika. viktoria na malawi. Mtaelewa tu!
Ulinusurikaje wakati wa ukaguzi wa vyeti feki?Kwahiyo Bandari zitaendeshwa na Dp World lkn ulinzi na usafi ndiyo utasimamiwa na TPA?
🤣Kamezeshwa? !
[emoji38][emoji38][emoji38]
Huo mkataba utakuja kuwatokea puani siku moja.
swali kuntu, kwa uliyemuuliza. Wenye akili na utuuzima wao wamechutama humu jf yy anasimama. Ngoja. tuuone utupu wakeUmeusoma Mkataba wa DP WORLD na Bandari ya Tanzania ?
Muda muda muda"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje ambaye tutakubaliana naye."
- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa
Mbona ipo very clear.Statement yote haieleweki
Wewe nani umuulize yeye kuhusu mikataba ya kibiashara isiyomuhusu?Umeusoma Mkataba wa DP WORLD na Bandari ya Tanzania ?
sasa kama ni hivyo fungeni vibakuli vyenuWewe nani umuulize yeye kuhusu mikataba ya kibiashara isiyomuhusu?
Fafanua sasa bibi wa Dp wooooorldddddNini ambacho hujaelewa hapo?
Mauzo ya Almasi Mwadui yalipata ridhaa ya wananchi. Gesi Mtwara, Dhahabu, makaa ya mawe, SGR, Bwawa la Nyerere na ............na ..........na............Wazungu wanasema "Time will tell" wakimaanisha "Muda utaongea" hili suala la DP world hakina baraka ya watanzania haliwezi kuwa na matokeo chanya kamwe.
Mungu atupe uzima tutakuja kuambizana hapa hapa JF
Mama abdul na serikali yake wamefanya maamuzi yao bila kuwashirikisha wananchi
Mfumo unaokwenda kuendesha bandari unaitwa kwa kingereza Landlord Port."DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje ambaye tutakubaliana naye."
- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa
Mmmm! Usimfanishe Mwambukusi na mtu yeyote! Kama huyu mtu anasifa uzitajazo, pendekezo langu ateuliwe kuwa mgombea uRais kwa tiketi ya CHADEMA uchaguzi mkuu 2025. Ili atupeleke kwenye nchi ya ahadi.Toka zako apa , ninyi endeleeni kula wala hamjakatazwa , lakini kila kitu kina mwisho , tunaomba usimtaje tena usimfanamishe Mr Mwabukusi na mtu yeyote , Yule ni Hero wetu , Yule ni mtanzania halisi , Yule ni Mwafrika halisi . Yule ni mcha Mungu halisi , Yule ni mpigania haki halisi , Yule ni mwana wa Mungu halisi
Ninyi endeleeni kula lakini ndio mauti yenu ya milele ,
Fikiria ukifa unaenda wapi? Na Mungu atakudai huduma aliyokupa kwa ajili ya Taifa lako , je ulifanya sawa ?
Ngoja nikuambie “
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana , Sasa unatumia vibaya mali yake kiubinafsi utajibu !
Haya msomi Econonist, na kwa ajili ya usomi wako mimi nitakuita "Economist". Ndio bado nipo katika kuvisoma vitini. Sielewi kama msomi, ila kama mwananchi wa kawaida nimeelewa.Wewe ndio huelewi, unahitaji kupitia huu mkataba mpya.