SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hayakuhusu haya.Mimi nataka kujua baada ya kununua hizo hisa 49% kwa bilioni 20 sasa ana mpango gani ili kuifanya klabu iwe bora zaidi? Labda kama anakusudia kununua wachezaji wenye viwango vikubwa zaidi au ujenzi wa kiwanja angalau kiwe kama cha Azam, kupata kocha bora zaidi n.k
Sawa Mo, lakini na mimi yanayohusu kama mshabiki.Hayakuhusu haya.
Unauliza waandishi wa habari nchi hii wewe unaona wapo!?Ikumbukwe tume ya ushindani ilizuia mfumo wa mabadiliko baada ya kutokufuata utaratibu na kuitaka timu ya simba kuanza upya lakini hawakufanya hivyo.
Baada ya utawala mpya kuingia nchini yule nwenyekiti wa tume ya ushindani aliondolewa kinyemela akawekwa ambaye atampendelea Dewj kufanya atakavyo.
Ndivyo inavyoendelea kwa sasa huyu Dewj ukisikiliza press yake jana ni kama alienda kututukana sisi Watanzania
Imagine eti anasema aliisaidia simba badae akaiacha akaenda kuwasaidia watu wa Singida kuwapelekea maendeleo hivi huyu tapeli aliwapelekea maendeleo gani singida wakati historia inamkumbuka km mtu aliyekuwa anagawia wanawake kanga na chumvi anatumia uongo wa siasa kuiibia simba
Anasema ametumia zaidi billion 21 kwa miaka mine toka aingie simba hivi waandishi wa habari hawajamuuliza simba iliingiza kiasi gani Kati ya hizo bilion 21.
Kwann waandishi wa habari hawakumuuliza bidhaa zake zinazochofua brand ya simba amelipa shiling ngapi?
Kwann waandishi wa habari hawajamuuliza kwann uwanja wa bunju auite jina lake wakati yeye hana mchango wowote kwenye huo uwanja.
Tena kwa kiburi sana anasema aulizwe maswali machache tu.
Huyu muhindi anatumia udhaifu wa serkali iliyopo kutaka kuimiliki simba sawa anaweza kushinda kwa muda ila itafika siku utaondoka kwa aibu.
Huyu tapeli hana maisha marefu simba.
Mbaya zaidi ameanza kuhonga waandishi wa habari ili waache kukosoa uhuni wake kwenye klabu.
Mimi nadhani ni sawa TU konde boy akauzwa kwenye ligi zenye akili. Kijana anajituma sana, kumchezesha kwenye viwanja vya manungu, mabatini na waamuzi wa hovyo kama hawa tunampotezea muda wake na kummalizia mpira wake kwa majeraha. Auzwe tu mo afidie hasara za kusajili wachezaji wapya.Akiwauza hao wewe unaumia nini?? Kuna zile hisa asilimia 51 ukanunue ili tujue unauchungu na team kenge wewe
Nakumbishia maswali yangu hayajajibiwa.Tatizo la watu wanataka watafutwe mmoja mmoja wajibiwe kile walichonacho vichwani mwao, yaani kila alichokiuliza kilishatolewa maelezo tena siku nyingi sana uvivu wake wa kufatilia mambo na ile tu kuonekana nae kachangia ndio kinamfanya aandike aandikayo
Bora kawachana gongowazi
Mjomba kaangalie report ya mkutano mkuu wa mwisho, maana naona unamuaibisha huyo twiga kwenye avatar.Hizo 300m ni sehemu ya ile 24.3b?
Sawa sawa TODWewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Mzee umeshajaribu mangapi ukashindwa kisha ukaja kufanikiwa?Mo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..
Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?
Maswali mengi kuliko majibu
Mbona huulizi wale wa 51% ndugu?Mimi nataka kujua baada ya kununua hizo hisa 49% kwa bilioni 20 sasa ana mpango gani ili kuifanya klabu iwe bora zaidi? Labda kama anakusudia kununua wachezaji wenye viwango vikubwa zaidi au ujenzi wa kiwanja angalau kiwe kama cha Azam, kupata kocha bora zaidi n.k
Wataje hao. Kagere amekuwa mfungaji bora misimu mingapi?Wachezaji wazuri hawawezi kuja Simba na Yanga tuseme ukweli. Tunaowasajili kutoka nje hawana thamani hiyo tunayowapa. Kuna watanzania ambao wanawazidi akina kagere, kahata, shikalo, sarpong, Wawa, Yacouba na wengine lakini hawapewi nafasi TU na makocba. Hata makocha wengine hawana uwezo wa kuwazidi akina Mkwasa lakini hawapewi nafasi.
Hivyo, tuwe makini na sajili zinazotuongezea gharama za kuendesha timu. Kama Tanzania kuna mchezaji mzuri lazima atapenda kuondoka kwenda timu nzuri kama Al-Ahly, Raja, Masri, Ulaya, nk.
Jamaa watapigwa na muddy mpk waseme hiki nini[emoji24]Ikumbukwe tume ya ushindani ilizuia mfumo wa mabadiliko baada ya kutokufuata utaratibu na kuitaka timu ya simba kuanza upya lakini hawakufanya hivyo.
Baada ya utawala mpya kuingia nchini yule nwenyekiti wa tume ya ushindani aliondolewa kinyemela akawekwa ambaye atampendelea Dewj kufanya atakavyo.
Ndivyo inavyoendelea kwa sasa huyu Dewj ukisikiliza press yake jana ni kama alienda kututukana sisi Watanzania
Imagine eti anasema aliisaidia simba badae akaiacha akaenda kuwasaidia watu wa Singida kuwapelekea maendeleo hivi huyu tapeli aliwapelekea maendeleo gani singida wakati historia inamkumbuka km mtu aliyekuwa anagawia wanawake kanga na chumvi anatumia uongo wa siasa kuiibia simba
Anasema ametumia zaidi billion 21 kwa miaka mine toka aingie simba hivi waandishi wa habari hawajamuuliza simba iliingiza kiasi gani Kati ya hizo bilion 21.
Kwann waandishi wa habari hawakumuuliza bidhaa zake zinazochofua brand ya simba amelipa shiling ngapi?
Kwann waandishi wa habari hawajamuuliza kwann uwanja wa bunju auite jina lake wakati yeye hana mchango wowote kwenye huo uwanja.
Tena kwa kiburi sana anasema aulizwe maswali machache tu.
Huyu muhindi anatumia udhaifu wa serkali iliyopo kutaka kuimiliki simba sawa anaweza kushinda kwa muda ila itafika siku utaondoka kwa aibu.
Huyu tapeli hana maisha marefu simba.
Mbaya zaidi ameanza kuhonga waandishi wa habari ili waache kukosoa uhuni wake kwenye klabu.
Nendeni mkashitaki CAS ili Mo aondolewe Simba mpate mteremko. Yaani mada zenu zimekaa kishoga shoga fulani. Mna boa sana.Ikumbukwe tume ya ushindani ilizuia mfumo wa mabadiliko baada ya kutokufuata utaratibu na kuitaka timu ya simba kuanza upya lakini hawakufanya hivyo.
Baada ya utawala mpya kuingia nchini yule nwenyekiti wa tume ya ushindani aliondolewa kinyemela akawekwa ambaye atampendelea Dewj kufanya atakavyo.
Ndivyo inavyoendelea kwa sasa huyu Dewj ukisikiliza press yake jana ni kama alienda kututukana sisi Watanzania
Imagine eti anasema aliisaidia simba badae akaiacha akaenda kuwasaidia watu wa Singida kuwapelekea maendeleo hivi huyu tapeli aliwapelekea maendeleo gani singida wakati historia inamkumbuka km mtu aliyekuwa anagawia wanawake kanga na chumvi anatumia uongo wa siasa kuiibia simba
Anasema ametumia zaidi billion 21 kwa miaka mine toka aingie simba hivi waandishi wa habari hawajamuuliza simba iliingiza kiasi gani Kati ya hizo bilion 21.
Kwann waandishi wa habari hawakumuuliza bidhaa zake zinazochofua brand ya simba amelipa shiling ngapi?
Kwann waandishi wa habari hawajamuuliza kwann uwanja wa bunju auite jina lake wakati yeye hana mchango wowote kwenye huo uwanja.
Tena kwa kiburi sana anasema aulizwe maswali machache tu.
Huyu muhindi anatumia udhaifu wa serkali iliyopo kutaka kuimiliki simba sawa anaweza kushinda kwa muda ila itafika siku utaondoka kwa aibu.
Huyu tapeli hana maisha marefu simba.
Mbaya zaidi ameanza kuhonga waandishi wa habari ili waache kukosoa uhuni wake kwenye klabu.
Hawa machoko wana boa sanaTafuta hela ukamzidi uchukue zile hisa. Kabla hajaweka hela mliongea uahuzi saana mara hana hela mara tapeli mara cjui imepanda imeshuka haya katia mpunga wake unaanza kumshambulia tena. Umaskn ni kitu kibaya saana.
Kajadilianeni na bosi wenu Mzee Mpili.Sawa Mo, lakini na mimi yanayohusu kama mshabiki.
Maswali yangu yanatokana na press conference, sitoki nje ya press iliyopita maana mimi siingii kwenye vikao vya management. Vinginevyo lazima mkague na kuhakiki anachokwenda kuzungumza mh. wenu kwenye press zake.Mjomba kaangalie report ya mkutano mkuu wa mwisho, maana naona unamuaibisha huyo twiga kwenye avatar.
Una maswali ambayo majibu yake yapo wazi.
Wakina Nchimbi, akina waziri junior, akina Juma Athumani, akina dilunga, mzamiru, mo, ndemla, nk ambao wanapewa nafasi uwanjani kwa kubip kama wangepewa fursa wangewazidi akina chikwende, sarpong.Wataje hao. Kagere amekuwa mfungaji bora misimu mingapi?
Hao unasema mbona hatuoni miaka nenda rudi wageni ndo wanatusua.
Hao wafanyabiashara walikuwa wapi kuja kuwekeza,walisubiri Mo akuze brand ndo waje?Kuwekeza siyo kujitolea. Ni lazma uwekeze na upate faida ya uwekezaji. Mo hajawahi kuweka faida anayoipata kwa uwekezaji wake na kimsingi anapata pesa nyingi kuliko alichowekeza. Its just business si kwamba anaipenda sana Simba No ni source of income kwake. Cha msingi hapa simba wangeweka wazi ili hata wawekezaji wengine wawe huru kuwekeza.