Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Kutafakari nini kwa mtu mmoja anayeharibu maisha ya wengine? Majambazi hawana nafasi sababu wengi wanaua.ni muhimu kutafakari kabla hujarukia kwenye conclusion.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutafakari nini kwa mtu mmoja anayeharibu maisha ya wengine? Majambazi hawana nafasi sababu wengi wanaua.ni muhimu kutafakari kabla hujarukia kwenye conclusion.
Itakuwa vizuri sana ukiwa Mwenyekiti wa tume hiyo!Polisi polisi polisi. Unawezaje kuruka kwenye gari ukiwa umefungwa pingu mikononi? Iundwe kamati ya kuchunguzwa kifo hicho.
Sema wamemuua vibaya mno ila maelezo ya kipolisi huwa mepesi tu! Yani polisi wakibongo wamkimbize hospitali jambazi 😅😅😅😆😅😅😂🤣🤣😂 hii story labda wawasimulie watu wa Japan au Uingereza ndio watawaelewa!Huyo jamaa atakua amekufa kifo kibaya sana.
Wakishaandika hivyo huwa najiongeza mwenyeweYani askari wanataka tuamini wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari???
Usikute alirukia kitu chenye ncha kali chenye mfano wa risasi na kumsababishia majeraha makali yaliyopelekea kifo chake🤣🤸🐒Yani askari wanataka tuamini wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari???
Hakuna kutafakari Mkuu jibu ni kuwa wametumia mbinu nzuri tuu ilikua inatumika zamani kidogo kupunguza majambazi sugu...na anakimbizwa hosptali kabisa kama wanaokoa maisha yake wakifika hakuna kinachoendelea ili kusubiri awekwe nje ya mochwari...ni muhimu kutafakari kabla hujarukia kwenye conclusion.
Hapo chacha...Yani askari wanataka tuamini wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari???
Aisee nikweli?Askari alikuwa na mahusiano na mke wa marehemu. Kisa kilianzia hapo. Hakuna ujambazi hapo
Watu wa hivyo sio wa kuuawa. Ni kuwapatia mateso kila siku. Kuwaua ni kuwapunguzia adhabuHamna kuundwa kamati wala chchte, tunajua hakuruka kwenye gari wala nn ila amepata anachostahili, Hakika kifo chake kilikua chauchungu mno.
Siku ndugu yako akifa mikononi mwa polisi uje ushangilie hivi hiviHuyo hata kama walimsukuma ili adondoke wakati gari ipo kwenye mwendo kasi ni sawa kabisa, hatakiwi kuishi ni hatari kwa jamii.
Una matatizo.Polisi polisi polisi. Unawezaje kuruka kwenye gari ukiwa umefungwa pingu mikononi? Iundwe kamati ya kuchunguzwa kifo hicho.
Kifo ni haki ya jambazi, lakini maelezo ya kifo cha huyu jambazi yana ukakasi. Jambazi aliefungwa pingu anaruka kutoka gari ya polisi. Ni pickup ya wazi? Polisi ndani ya gari walisinzia?Jambazi aliyemuua kwa kumkata mapanga Askari polisi, H.2407 Constable Damasi Magoti wa kituo Cha polisi Mbughuni wilayani Arumeru, Jacob Kideko au Ramadhani Kichwa(43) Mkazi wa Makiba amefariki dunia katika jaribio la kuwatoroka polisi alipokuwa akimsafirishwa jijini Arusha.