Aliyemuua askari Arusha adaiwa kufa akijaribu kuwatoroka polisi

Aliyemuua askari Arusha adaiwa kufa akijaribu kuwatoroka polisi

Ile mahakama ya nyuma ya shule ya Kibasila nilishuhudia mtu akiwachomoka polisi huku amefungwa pingu mikononi.

Jamaa aliruka ile fensi kama hana pingu.

Hapa watu wanahisi haiwezekani mtuhumiwa kutoroka huku kafungwa pingu ila ni inawezekana vizuri tu.
 
Jambazi aliyemuua kwa kumkata mapanga Askari polisi, H.2407 Constable Damasi Magoti wa kituo Cha polisi Mbughuni wilayani Arumeru, Jacob Kideko au Ramadhani Kichwa(43) Mkazi wa Makiba amefariki dunia katika jaribio la kuwatoroka polisi alipokuwa akimsafirishwa jijini Arusha.
Kifo ni haki ya jambazi, lakini maelezo ya kifo cha huyu jambazi yana ukakasi. Jambazi aliefungwa pingu anaruka kutoka gari ya polisi. Ni pickup ya wazi? Polisi ndani ya gari walisinzia?
 
Sheria ingewekwa wazi tu ukiuwa na wewe unauwawa
Wangesema askari wenye hasira kali basi
 
Back
Top Bottom