Aliyeona mwezi wa Eid atushtue tujiandae

iwe kadhi au yeyote sisi tunajua ni kiongozi wa kiislam ndiye mwenye mamlaka ya kusema mwezi umeandama kesho iddi inatosha
Nipatie dalili( uthibitisho)toka kwenye Qur'an ama Sunnah Yaani hadithi za Mtume
 
mimi biriani sjui watu wanalipendea nn, mara mia nile pilau, lakini kwa sababu mgeni raha yake ni biriani bas atapikiwa, tunapenda kumkirim mgeni
Hayo ndio maneno sasa πŸ˜‹
Utamu wa birian nyama tunaujua sisi walaji
 
Kila kitu si unajua vyakula vya kula kwa kushtukiza, wengine tushazoea chukuchuku
duh, sasa lile basmati la kucheshwa kama ubwabwa wa mafuta kasoro rangi na viungo na rojo ambalo muda mwengine hukawii kushinda chooni vya nini, bas uupate mchuzi wa chukuchuku na wali wa nazi utakula had uingie kwenye sufuria
 
duh, sasa lile basmati la kucheshwa kama ubwabwa wa mafuta kasoro rangi na viungo na rojo ambalo muda mwengine hukawii kushinda chooni vya nini, bas uupate mchuzi wa chukuchuku na wali wa nazi utakula had uingie kwenye sufuria
Sio kwamba nalila lote πŸ˜‚
Umenichekesha eti nitakula ad niingie kwenye sufuria πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio kwamba nalila lote πŸ˜‚
Umenichekesha eti nitakula ad niingie kwenye sufuria πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
yaani kwa utam wake utataman uingie kabisa kwenye sufuria,kuna siku nilimkuta mtu anapika mchuzi wa nazi ameweka mafuta jikon akaanza kukaanga vitunguu namuuliza hiko unapika n mchuzi gan ananambia wa naz,wakat mchuzi wa nazi haupikwi hivo napenda kula vitu ambavyo kama ni nazi nazi iwe hiohio sio ya kuongezea mafuta, kama mafuta bas kwa kiasi kidogo sana
 
Mambo ya tanga hayo πŸ˜‹
SI mtanifanya nizamie huko navopenda mapishi matamu ?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan kinachokuleta ni kula?? ni hapo unakuja unakutana na mchuzi wa dagaa wanataka kufufuka tena chuzi tele dagaa kiduchu sjui utafanyaje
Kuoa

πŸ˜‚ nsivyopenda kuogelea kwenye mchuzi nitakerekwa sana.
 
Nipatie dalili( uthibitisho)toka kwenye Qur'an ama Sunnah Yaani hadithi za Mtume
wanatangaza viongozi hata kama dunia nzima mwezi umeandama haitoshi kusema kesho iddi, mpaka viongozi wa dini waseme iddi ni lini. Mwezi tayari umeandama, kesho utakuwa ni mkubwa na uko juu kila mtu anauona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…