Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 IPO SIKU
 
Yote kwa yote msisahau kula vizuri kila kitu kina faida na hasara. Nafikiri mmeona faida za mwili wa mhanga. Alikuwa akiweka gadi mguu unakubali, akiweka konga inakubali, akiweka mgongo kama kigingi unakubali, wakitaka kumuingiza kwa lazima mlangoni haenei mpaka aamue yeye kujipenyeza.

Mwamba kajipambania sana. Huu ulimwengu wa hovyo sana. Binadamu anaogopa kukutana na binadamu
 
Hivyo ni viji drama tu...(kiziwi)
 
Haya mambo yanaichafua serikali. Jeshi la polisi liwakamate hao jamaa kama sio polisi. Wakikaa kimya ina maana hao ni polisi.
 
πŸ˜ƒπŸ€£ asirudishe vipi wakat alishaenda kurepot kituo cha polisi na nina uhakik ata iyo pingu alifunguliwa uko uko na kuiacha uko uko

Ila wabongo ni wapumbavu sana yaani mtu anatekwa mbele ya macho yao wapo wapo tu kama mazezeta vile
Walijuwa wanashoot content za huko Tiktok.
 
Kwa hiyo una taka kusema ni watu wa kulipa kisasi,je pingu wametoa wapi?
 
Baada ya kuona haya Mambo nimeamkia uwanjani kuendelea kutafuta pumzi ya mbio na kitambi changu
Mkuu kitapungua kama siyo kuisha kabisa.

Hii itawafanya waondoke na wewe kama mwewe kwa kifaranga cha kufanya endelea kukilea japokuwa kuna sector performance itapungua lakini uhai muhimu zaidi.
 
Utasaidiwa mke
Hahahaaaaa..... Kuna mahali humu nilicoment mke alishakimbia Toka 2022 ambaye nilikuwa naye Toka 2004.. so Sasa Niko single Wacha ninenepe... First born Yuko chuo first year... Kije tu kitambi na kikue
 
Wangefanikiwa kumteka kesho yake tukasikia amekufa, hiyo video ingesaidia nini?
Ashukuru ubonge wake umesaidia. Watu wameshindwa kutoa msaada hata kulizunguka gari...watanzania waoga sana inasikitisha
 
Yani ww unashuka alafu unarudi rudi kuuliza watekaji!!??
Ilitakiwa usepe mazima
 
Kuna muuni huko ndan ya Raum hajaonekana sura. Watekaji seems ni zaid ya watatu
 
πŸ˜ƒπŸ€£ asirudishe vipi wakat alishaenda kurepot kituo cha polisi na nina uhakik ata iyo pingu alifunguliwa uko uko na kuiacha uko uko

Ila wabongo ni wapumbavu sana yaani mtu anatekwa mbele ya macho yao wapo wapo tu kama mazezeta vile
Ulishawahi kusikia mlio wa AK 47?
 
Wangefanikiwa kumteka kesho yake tukasikia amekufa, hiyo video ingesaidia nini?
Ashukuru ubonge wake umesaidia. Watu wameshindwa kutoa msaada hata kulizunguka gari...watanzania waoga sana inasikitisha
Sasa unataka Wana chi wajilinde,

KaZi ya Serikali ni nn?

Yaani wakulima na wafanyakazi waache shughuli zao Ili wajilinde?

Sasa Kodi wanazolipa za nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…