Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Amen
 
Msichokijua ni kwamba wasiojulikana na watekaji si Jeshi la Polisi kama mnavyo dhani bali ni kikundi ambacho kipo chini ya Chama cha mapinduzi (CCM) kikiratibiwa na Umoja wa vijana UVCCM.
Kama ndivyo , na kwa kuwa kimeendelea kuchafua jeshi la police , na kwa kua kinalindwa na maccm , kwa nini jeshi la police lisiunde Task force yakumalizana nacho kimia kima , watachafuliwa na hili kundi la majangili mpaka lini?
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
IMG-20241113-WA0046.jpg
 
Sipati picha mama aliyewazaa vijana hao anajisikiaje kuona mtoto aliyemzaa, akidhulumu Roho za watoto wa wanawake wenzie,

Kumbe Si Kila tumbo la uzazi ni tumbo🤔
Mambo ya kuhusisha watu wasiohusika ni upungufu wa akili, hapo wazazi wanahusikàje na roho mbaya za watoto wao ambao ni watu wazima?
Wazazi hawajawatuma na hawajahusika.
Labda àliyesema kifo ni kifo tuu ndio ahusishwe maana ndo mmiliki wà hivyo vyombo vya dola.
 
Kama ndivyo , na kwa kuwa kimeendelea kuchafua jeshi la police , na kwa kua kinalindwa na maccm , kwa nini jeshi la police lisiunde Task force yakumalizana nacho kimia kima , watachafuliwa na hili kundi la majangili mpaka lini?
Kwa nchi inavyoendeshwa CCM(UVCCM) iko juu ya polisi na pia iko juu ya sheria.
 
Hii imenihuzunisha sana, nikwamba walishindwa kummaliza palepale.
 
Msichokijua ni kwamba wasiojulikana na watekaji si Jeshi la Polisi kama mnavyo dhani bali ni kikundi ambacho kipo chini ya Chama cha mapinduzi (CCM) kikiratibiwa na Umoja wa vijana UVCCM.
Nakubali ni hao wa chama,

Ila wanashirikiana na Majeshi yote uyajuayo, maana chama kimeshikamana na kugandamana na dolari!
 
Mambo ya kuhusisha watu wasiohusika ni upungufu wa akili, hapo wazazi wanahusikàje na roho mbaya za watoto wao ambao ni watu wazima?
Wazazi hawajawatuma na hawajahusika.
Labda àliyesema kifo ni kifo tuu ndio ahusishwe maana ndo mmiliki wà hivyo vyombo vya dola.
Nasema tu mzazi ukisikia au kuona picha ya mwanao ni mtekaji na muuaji unajiskiaje?
 
Back
Top Bottom