Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Mchukua video ukiangalia vizuri alichukua video akiwa ndani ya nyumba na hata ukiangalia vizuri ni ndani ya jengo lenye madirisha ya Aluminium na huenda yakawa na rangi ya one way black tinted hivyo waliopo nje ni vigumu kumuona aliyepo ndani lakini wa ndani anamuona wa nje clearly
Amesaidia sana Polisi pakuanzia
 
Oyaaa, huyo sio mtu karekodi na simu yake, ni mfumo wa CCTV ulikuwa ukirekodi na hao askari wa mchongo mabangubangu hawakujua kuwa kuna camera ya CCTV hapo! CCTV inaonyesha tukio limetokea tarehe 11/11/2024. Jumatatu, saa nane mchana

View attachment 3151315
Heh, kumbe tangu kuwa na t-shirt mpk kubaki tumbo wazi 😅
 
Nilisema hapa, mpaka tufike uchaguzi watu wataendelea kutekwa. Haya yanaendelea, ila watanzania hapana, huo mtaa hauna wanaume hata 10, wa kuweza kumuokoa mwenzao? Imenishangaza sana, mtu anaomba msaada.

Yaani hii nchi ukipatwa na matatizo, watu watakuangalia ukifa ama ukipelekwa kufa. Na watekaji wanajiamini, wakijua hakuna wa kujitokeza kusaidia.

Hii ni sehemu nyingi, juzi Dr wangu wa meno, naye alivamiwa akiwa ndani ya gari, wakapasua kioo, na kupigana nao. Mlinzi kalala, wanaolala nje hapo wanaangalia tu. Kumiliki silaha ni muhimu sana kwasasa.
 
Wenzako enzi za Mchemia walikuwa. na kiburi na jeuri zaidi yako.

Mkuu be humble yana mwisho haya.
habari ya enzi na historia za wengine ni useless nyakati hizi tofauti na muhimu za kuambizana ukweli bila kubabaika na mihemko wala makasiriko ya mwingine...

Ni muhimu kujifunza kupokea, kuambiana na kuskiza ukweli 🐒
 
habari ya enzi na historia za wengine ni useless nyakati hizi tofauti na muhimu za kuambizana ukweli bila kubabaika na mihemko wala makasiriko ya mwingine...

Ni muhimu kujifunza kupokea, kuambiana na kuskiza ukweli
 
Nadhani Kuna mahali una tatizo la afya ya akili, na nimekuonya mara nyingi, ukiendelea kwa kinywa na vidole vyako kuendelea kufurahia dhuluma na mateso dhidi ya binadamu, wakati utafika na ukiwa hai utaona matunda yake kwako na familia Yako! Ikiwa hata mtu amedhulumu ambapo (huna hakika) katika nchi inayofuta utawala wa Sheria hastahili kutwezwa utu wake Kwa kiasi hiki. Dhamira Yako itasema na wewe kwa wakati wake sahihi.
Huyo jamaa kaamua kujitoa ufahamu kwenye Kila kitu.

Ila hata yeye atavuna anachopanda kama ulivyoandika.
 
Ben saa nane alitekwa na kupotezwa kisa tu alipinga kuwa Magu sio Dokta!!
Hoja zake watetezi wa Magu walishindwa kabisa kuzijibu na jibu walilokuja nalo ni kumuua tu!!
Deo Soka vilevile kama Ben wameamua kumuua kwa sababu wao si wazuri kwenye hoja!!
Wanasaidiwa na Serikali watu hawa!!

Itoshe tu kusema kuwa CCM ni wakala wa Shetani na moja ya taasisi zinazochelewesha mno maendeleo ya Waafrika!!
 
Wewe ni mwendawazimu,

Mtaani Kuna duka la kuuza pingu?
Mkuu ina maana haujui kuwa pingu ni bidhaa inayouzwa hata kwa raia?. Nenda maduka ya silaha na vifaa vya ulinzi utazikuta tena bei ya kawaida tu.
 
uko sahihi sana gentleman

nami nilieleza bayana kwamba kuna watu ukizengea zengea sharubu zao kwa dharau na maneno wao wanakujibu kwa vitendo na kumalizana na wewe kwa haraka sana.

Tuishi na watu vizuri 🐒
Sawa.. Ila sio hao we k..m
 
Vipi Intelijensia yao bado haijawabaini hawa jamaa na kuchukua hatua , au tumsubiri msemaji aje kuweka mzani sawa.
 
Back
Top Bottom