Kwani mkuu nikuulize, unapokua umeenda mahali ukaagiza kuku wa kuchoma, unaletewa mezani unataka uanze kula au ukiwa unakula anakuja yule NZI WA CHOONI, utamuacha au utamfukuza..Shida hapa ni ulaji wa watu umeingiliwa. Hakuna kingine
Hivyo ni viwanda vidogo vidogo, TBS wenyewe hawana ubora wowote.Sio rasmi na hazina viwango, nenda wanapozitengeneza, ni vishoka tu wanavibandika vichochoroni. Wako sahihi, havina ubora wa TBS
Camera huwa zinasoma plate number au zina detect spidi ya gari inayokuja mbele?
Embu tufafanulie wewe Zile plate number na mashine kuna mechanism gani kiasi cha kwamba ukiweka 3D hauwezi kusoma?
Siongei chochote, ila nauliza tu, baada ya kubandua, hizo namba zinapofutika, ndio Camera za polisi zinaweza kusoma?View attachment 2938786
==========================
Zipo camera za kudetect speed(Dopler's effect) na zipo camera ya kuscan namba(Number detection on the license plate) ,kwa hapa tunazizungumzia hizo za kudetect number.
Kabla ya kuimplement kitu chochote lazima ufanye test ,inaonekana test walizozifanya kudetect namba walitumia vibao plane kwahiyo inaonekana hizo 3D zinawasumbua kudetect ,ndiyo maana nikashauri waboreshe camera zao ziwe zinauwezo pia kwa kudetect 3D.
Sasa namba zisizosomeka TRA wakizipitisha ndiyo zitasomeka?Nilimsikiliza siku moja mkuu wao wa kikosi akisema torch na camera zao hazizi-detect hizo namba wanapofanya makosa mbalimbali barabarani.
Alisema hata nchi zinazoendelea bado wanatumia 2D kwa sababu ni rahisi kuziakisi lakini mwisho akasema kama TRA watazipitisha wao hawana shida nazo so inawezekana kuna mgongano wa kimaslahi kwamba sirikali inataka yenyewe i-control soko lake tofauti na sasa kila mmoja anaweka.
Wewe ndio umejaribu kwa makusudi kwa kubandika hayo ma plastic. Hivyo Cha kufanya kaombe wakupe mpya achana kabisa na hilo ambalo halisomeki tena paki gari nyumbani mpaka utakapopata namba sahihi. Usirudie tena ujinga wa kufuata mkumbo kuweka vitu kwenye gari visivyo na maanaSawa, nimeuliza, baada ya kubandua kwa lazima na kufuta namba za chini yake, camera ndio zinaweza kusoma?
Hoja ni kwamba, hizo 3D hata camera zao zinasoma, ni uongo kusema hazisomi, kwahiyo hapo wanatemgenezewa watu biasharaWewe ndio umejaribu kwa makusudi kwa kubandika hayo ma plastic. Hivyo Cha kufanya kaombe wakupe mpya achana kabisa na hilo ambalo halisomeki tena paki gari nyumbani mpaka utakapopata namba sahihi. Usirudie tena ujinga wa kufuata mkumbo kuweka vitu kwenye gari visivyo na maana
Whether zinasoma au hazisomi, nipe sababu ya kitaalamu ya kuzibandika hayo ma plasticHoja ni kwamba, hizo 3D hata camera zao zinasoma, ni uongo kusema hazisomi, kwahiyo hapo wanatemgenezewa watu biashara
Nini faida ya hizo 3D? zaidi ya kutafutia sifa mtaani kuna faida nyingine?Siongei chochote, ila nauliza tu, baada ya kubandua, hizo namba zinapofutika, ndio Camera za polisi zinaweza kusoma?View attachment 2938786
==========================
Huwezi jua unazania plate number ni za kujitengenezea kama majiko ya mkaa?Hivi mnaposema hazina viwango
Mnakuwa mnamaanisha nini?
Plate number zina standard zake,Akikujibu kiasi cha kila mtu akaelewa hapa.
Nitag
Ulitumwa na Serikali ubandike? kwa kifupi uunatakiwa kwenda kuchonga number mpya,bado ukikamatwa ni fainiNimeuliza, baada ya kubandua na kufuta zile namba za awali, camera ndio zinaweza kusoma?
walibandika 3D kutafutia sifa mtaani,sikuwahi kujua zina faida gani ukilinganisha na number za kawaidaHutakiwi kubandua, unatakiwa kurudi kwenye macamuni yanayotoa hizo number, nenda na card yako ya gari na number ulizoziharibu, utalipia 30,000. Na kupewa number mpya zenue viwango, hizo ulizozibandua kisheria hazisomeki.
kwani plate number za kawaida zinawekwa na seikali? sio kampuni binafisi?Nilimsikiliza siku moja mkuu wao wa kikosi akisema torch na camera zao hazizi-detect hizo namba wanapofanya makosa mbalimbali barabarani.
Alisema hata nchi zinazoendelea bado wanatumia 2D kwa sababu ni rahisi kuziakisi lakini mwisho akasema kama TRA watazipitisha wao hawana shida nazo so inawezekana kuna mgongano wa kimaslahi kwamba sirikali inataka yenyewe i-control soko lake tofauti na sasa kila mmoja anaweka.
Wajinga hawawezi kukuelewa mkuu wanguNi ushamba uliopitiliza kubandika ma plastic mbele ya namba ambayo imeandikwa kitaalamu na madini yanayo reflect mwanga. Wewe kwa ulimbukeni wako unakuja kubandika makorokocho yanayofanya muundo wa herufi ubadilike. Ningekuwa Mimi ni serikali ilikuwa nikikukanata umejaribu plate number kwa kubandika hayo ma.plastik ni jela miezi 6 ili ukajifunze nidhamu. Jinga kabisa.
Taifa lina watu wajinga sana mkuuWakikuta namba zimefutika utatakiwa kununua mpya. Hizo namba za magari zipo kisheria. Na ndani ya sheria hakuna masuala ya 3D. Huwezi kuvunja sheria halafu unauliza maswali. Kama baada ya kutoa zimefutika kanunue plate number mpya.
sifa mtaani,Hao wanaoweka 3D wanataka nini hasa? Kuna faida gani ya 3D ambayo unapata kuliko 2D
muhimu nini kifanyikeWanaobandika na wanaobandua wote hawana akili