mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nimeiona tayariKwenye uzi uliotoa taarifa ilikuwepo picha yake labda kama walishaitoa.
Mkuu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona tayariKwenye uzi uliotoa taarifa ilikuwepo picha yake labda kama walishaitoa.
Kwa hiyo umeona yeye alikua na nyege yeye alikua na hasira ya kugongewa mzigo dharau hizi sema kafeli kwenye maamuziAngejua hasira zake angemalizia kwa wauza nyuchi tu siku ipite
Si mpaka huyo mtu,mmja wapo akubali,nafsi yake ikubali piaUkiona umefikia ya kumfanyia ukatili mtu uliyekua unampenda na kuahidi kumlinda heri umwache tuu.
Kujilazimisha kukaa nae ndio kunaishiaga kwenye hizi huzuni
Hili ni funzo kubwa kwetu tuliobakia
Rest well Irene
Kweli katumia maamuzi mazito sanaKwa hiyo umeona yeye alikua na nyege yeye alikua hasira ya kugongewa mzigo dharau hizi sema kafeli kwenye maamuzi
Wanakuwaga na vitu vya ziada kwa ndani hawa, huwezijua kwa mwonekano wa nnje pekee hadi uchote maji ya mtungini kupitia kata ndipo ujue siri ya utamu wake.Ni wakawaida ila wivu View attachment 2069737
Labda aliwasha simu ikasoma locationNajiuliza Hao waliotoa taarifa wamemjuaje ni yeye wakt ni mgeni uko au ni mwenyeji wake ndio kamchoma, tuseme alikua kijijini ndanindani huko kwasbb mbona hawakudhani labda ni mgeni innocent wa uyo mwenyeji wake tu kama wageni wengine
Shehe wangu usiseme hivyo. Unaweza kukuta Hana chura Ila ana tanuru la Moto.mke mwenyewe mbona wakawaida tu ,Tena Hana chura@ eti mrangi
Nae angeipeleka huko...nduguyo mimi mpaka unionee wivu? Meno 32 afu unigande?Kwa hiyo umeona yeye alikua na nyege yeye alikua hasira ya kugongewa mzigo dharau hizi sema kafeli kwenye maamuzi
Hayo ndio madhara ya kua na Mwanamke mmoja utakuja kuua kwa wivu na manyege yako mengi uende nayo jela ukaolewe na wanyampalaAngejua angeenda nyumba ndogo, akalishwa maini ya kukaanga, beer tatu, massage ya nguvu, akitoka huko mwepesi Kama unyoya.
Haha haha afu unakula kichwa si bora umpige misumari akae sawaSi mpaka huyo mtu,mmja wapo akubali,nafsi yake ikubali pia
Sasa mfano ukicheki mwanaume anazinguana na mke wake kila kukicha,ukimcheki mke kanyooka,kajaliwa chura,mguumguu
Hapo mwanaume unasema hyu nkimuacha kuna mabweg watakuwa wanajipigiaa kiulaini
Kama vp achanimuaribieeee tu
Ova
Na hapo ndo tunapofel kuwa na mmoja shetani anamtaka na Mungu anamtakaHayo ndio madhara ya kua na Mwanamke mmoja utakuja kuua kwa wivu na manyege yako mengi uende nayo jela ukaolewe na wanyampala
Ye anataka umpe yeye aishughulikie hata kama tia maji maji umvumilie si ndio amekuweka ndani sasa nyege zinakushinda unaipeleka kwa wanaume wengine unategemea atakuchekea. Hayo ndio madhara kutokua muaminifu kwenye uhusianoNae angeipeleka huko...nduguyo mimi mpaka unionee wivu? Meno 32 afu unigande?
Labda aliwasha simu ikasoma location
Safi kabisa. Uwe na mchepuko wako somewhere, ukiona waif analeta za kuleta unamwambia nakwenda kula kongoro bar ya jirani. Kumbe uko Makongo juu...... Ukirudi mwepesi na presha zenu zimepungua.Hayo ndio madhara ya kua na Mwanamke mmoja utakuja kuua kwa wivu na manyege yako mengi uende nayo jela ukaolewe na wanyampala
Wanaume tunatakiwa kua na wanawake zaidi ya mmoja ili watutulize hasira zetu. hio mungu alishaiona akabiriki tuwaoe wengiNa hapo ndo tunapofel kuwa na mmoja shetani anamtaka na Mungu anamtaka
Na kila siku ana uhakika wa mlo bila kutaabisha fikra ya nini afanye kuhakikisha mlo unapatikana.Du jamaa kama hajajenga ndiyo ameshaepukana na kodi ya nyumba. Ataishi kwenye majengo ya serikali kwa muda mrefu sana.
Hhahaha kabisaHaha haha afu unakula kichwa si bora umpige misumari akae sawa
Afu unamsanifu kua unanyege ila unajihisi mchovu akuache ulale huku ukisubiri msg ya usiku mwema toka kwa mchepukoSafi kabisa. Uwe na mchepuko wako somewhere, ukiona waif analeta za kuleta unamwambia nakwenda kula kongoro bar ya jirani. Kumbe uko Makongo juu...... Ukirudi mwepesi na presha zenu zimepungua.
Kabisa,kuwa na madem wengi inasaidiaWanaume tunatakiwa kua na wanawake zaidi ya mmoja ili watutulize hasira zetu. hio mungu alishaiona akabiri tuwaoe wengi
Hiyo lazima kila mwanume anaeingia kwenye mahusiano na wanawake wa sasa lazima amfanyie usaili wa Jicho aone kama linaona au limepofuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hhahaha kabisa
Kama vp na wewe mtest jich isije ikawa kna mhuni anaml@ wewe hujuwi
Ova