Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Ukiona umefikia ya kumfanyia ukatili mtu uliyekua unampenda na kuahidi kumlinda heri umwache tuu.
Kujilazimisha kukaa nae ndio kunaishiaga kwenye hizi huzuni

Hili ni funzo kubwa kwetu tuliobakia

Rest well Irene
Si mpaka huyo mtu,mmja wapo akubali,nafsi yake ikubali pia
Sasa mfano ukicheki mwanaume anazinguana na mke wake kila kukicha,ukimcheki mke kanyooka,kajaliwa chura,mguumguu
Hapo mwanaume unasema hyu nkimuacha kuna mabweg watakuwa wanajipigiaa kiulaini
Kama vp achanimuaribieeee tu

Ova
 
Najiuliza Hao waliotoa taarifa wamemjuaje ni yeye wakt ni mgeni uko au ni mwenyeji wake ndio kamchoma, tuseme alikua kijijini ndanindani huko kwasbb mbona hawakudhani labda ni mgeni innocent wa uyo mwenyeji wake tu kama wageni wengine
Labda aliwasha simu ikasoma location
 
mke mwenyewe mbona wakawaida tu ,Tena Hana chura@ eti mrangi
Shehe wangu usiseme hivyo. Unaweza kukuta Hana chura Ila ana tanuru la Moto.
Halafu wenye umri Hawa maneno wanayokuambia masikioni pamoja na kulalamika plus manjonjo mengine pamoja na zile beer tatu kichwani unaweza ukatoa kiwanja Goba wakati unakaa Sinza kwenye maji taka.
 
Angejua angeenda nyumba ndogo, akalishwa maini ya kukaanga, beer tatu, massage ya nguvu, akitoka huko mwepesi Kama unyoya.
Hayo ndio madhara ya kua na Mwanamke mmoja utakuja kuua kwa wivu na manyege yako mengi uende nayo jela ukaolewe na wanyampala
 
Si mpaka huyo mtu,mmja wapo akubali,nafsi yake ikubali pia
Sasa mfano ukicheki mwanaume anazinguana na mke wake kila kukicha,ukimcheki mke kanyooka,kajaliwa chura,mguumguu
Hapo mwanaume unasema hyu nkimuacha kuna mabweg watakuwa wanajipigiaa kiulaini
Kama vp achanimuaribieeee tu

Ova
Haha haha afu unakula kichwa si bora umpige misumari akae sawa
 
Nae angeipeleka huko...nduguyo mimi mpaka unionee wivu? Meno 32 afu unigande?
Ye anataka umpe yeye aishughulikie hata kama tia maji maji umvumilie si ndio amekuweka ndani sasa nyege zinakushinda unaipeleka kwa wanaume wengine unategemea atakuchekea. Hayo ndio madhara kutokua muaminifu kwenye uhusiano
 
Hayo ndio madhara ya kua na Mwanamke mmoja utakuja kuua kwa wivu na manyege yako mengi uende nayo jela ukaolewe na wanyampala
Safi kabisa. Uwe na mchepuko wako somewhere, ukiona waif analeta za kuleta unamwambia nakwenda kula kongoro bar ya jirani. Kumbe uko Makongo juu...... Ukirudi mwepesi na presha zenu zimepungua.
 
Safi kabisa. Uwe na mchepuko wako somewhere, ukiona waif analeta za kuleta unamwambia nakwenda kula kongoro bar ya jirani. Kumbe uko Makongo juu...... Ukirudi mwepesi na presha zenu zimepungua.
Afu unamsanifu kua unanyege ila unajihisi mchovu akuache ulale huku ukisubiri msg ya usiku mwema toka kwa mchepuko
 
Hhahaha kabisa

Kama vp na wewe mtest jich isije ikawa kna mhuni anaml@ wewe hujuwi

Ova
Hiyo lazima kila mwanume anaeingia kwenye mahusiano na wanawake wa sasa lazima amfanyie usaili wa Jicho aone kama linaona au limepofuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom