Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mpare na sio malaya.Sisi Wapare ni Malaya tunajuana
Mpare ninani hapo mume au mke?Wapare,waoane wenyewe kwa wenyewe!
Nimesema TU,Kuna siku mtanielewa
Itakua hivyo kapigwa home and awayDouble penetration sio?
Mke soma jina hilo au kusoma haujui?Mpare ninani hapo mume au mke?
Mwanaume mwenyewe alisema mkewe alichoka kuvumilia kwa Yale aliyokuwa anafanyiwa na mumeweJamaa yupi,chanzo ni mwanamke kuchepuka chepuka
Bora jamaa angekuwa mwanachama wa kataa ndoaa tu
Mpaka leo nahisi jamaa angelica hatua kubwa zaidi syo kuishia jela
Ova
Ni ujingaHiyo ndiyo dawa mkuu! Yaani uache ugali wa muhogo kwa samaki aina ya Mumi kizembe hivyo? Haiwezekani aiseee!
Yapi aliyokua anafanyiwa alikua anambanika kwenye jiko la mkaa kila siku?Mwanaume mwenyewe alisema mkewe alichoka kuvumilia kwa Yale aliyokuwa anafanyiwa na mumewe
Kwahio hapa tunasema aliua kitu kilichokua kimeshakufa ..Sasa Wanasheria embu mtusaidie hapa...kwa mfano kungekua na kamera zilizorekodi tukio na ikaonesha kua alianguka mwenyewe..je ingekuaje ..kuua bila kukusudia ..si ndio..Sasa akaenda kuchoma moto mwili uliouawawa bila kukusudia..hapo tunasemaje tena..naona adhabu ya kunyongwa imekua too harsh labda angefungwa miaka mingi..lakin hii kesi huwez amini kwa Wanasheria wabobevu huko duniani hii kesi angeweza kushinda ama kupunguziwa miaka ikawa michache gerezani (with possibility of parole) ila Sababu hapa kwetu na afrika kwa ujumla hua maamuz kama haya yanakuja na mihemko na hisia nyingi nyingine zinatumika kisiasa n.k..Huyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
apumzike kwa amani dada yetu, dada zetu mliobakia msi date waislamu kuna gharama kubwa …
Kwa nini uharibu maisha yako kwa ajili ya mtu mlokutana ukubwani?Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mimi.
Si nasikia Hamisi aliritadi au?
Bali nawanasihi Waislam wenzangu pamoja na kuinasihi nafsi yangu usiiache Dini ya Uislam kwa SABABU YOYOTE ILE ikiwemo Ndoa.
USIUACHE UISLAMU.
Uislam una thamani mno kwetu kuliko hata roho zetu. Neema kubwa zaidi ya Allah kwa waja wake ni kuwaongoza katika Uislam Dini yake aliyowachagulia Waja wake. Ndio sababu ya kufaulu Duniani na Akhera.
Wala tusife ila tukiwa Waislam.
Namuomba Allah anifishe katika Uislam na Sunnah. Aamiin
Namuomba Allah amuongoze Hamisi katika Uislam, Aamiin
Na hili liwe funzo kwetu sote.
Namuomba Allah atufishe katika Tawheed na Sunnah. Aamiin.
Kwamba mabaki yalizuiliwa Au?Huenda iko kisheria zaidi, walikuwa wanasubiri hukumu.
Ndiyo maanake kwa ajili ya ushahidi.Kwamba mabaki yalizuiliwa Au?
Mkuu Tuna hifadhi Maandiko yako kwa ajili ya ushahidi baadaee..Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mimi.
Mna mafundisho ya kiduanzi sana nyie watu!Si nasikia Hamisi aliritadi au?
Bali nawanasihi Waislam wenzangu pamoja na kuinasihi nafsi yangu usiiache Dini ya Uislam kwa SABABU YOYOTE ILE ikiwemo Ndoa.
USIUACHE UISLAMU.
ayat 19 from Surah Al Imran
﴿إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ﴾
[ آل عمران: 19]
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ
“Na yeyote anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitokubaliwa kutoka kwake, naye katika Aakhirah atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.” (03:85)
Uislam una thamani mno kwetu kuliko hata roho zetu. Neema kubwa zaidi ya Allah kwa waja wake ni kuwaongoza katika Uislam Dini yake aliyowachagulia Waja wake. Ndio sababu ya kufaulu Duniani na Akhera.
Wala tusife ila tukiwa Waislam.
ayat 102 from Surah Al Imran
﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنتُم مُّسْلِمُونَ﴾
[ آل عمران: 102]
Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu kama ipasavyo kumcha; wala msife ila nanyi ni Waislamu.
Namuomba Allah anifishe katika Uislam na Sunnah. Aamiin
Namuomba Allah amuongoze Hamisi katika Uislam, Aamiin
Na hili liwe funzo kwetu sote.
Namuomba Allah atufishe katika Tawheed na Sunnah. Aamiin.