Aliyeuawa na Mumewe 2019 kuagwa leo

Aliyeuawa na Mumewe 2019 kuagwa leo

Hamisi ni Muislam kwanini asinge ongeza mke na Dini ina ruhusu tena Wake wa nne, Yeye angel mke mwingine tu mbona Dar pisi kali zipo nyingi tu tena angeo mke wa pili na angeishi nao pamoja, Wazee wetu hawakufanya matukio ya kikatili kwasababu walikua wana oa wake wengi utakuta Mwanaume kaoa wake 6 au 4 kwahiyo Mke mmoja akizingua anaamia kwa wengine.
Alimpenda na aliwekeza sana kwake...alafu huyu jamaa alipotokea hadi kufikia hapo alipo dah alishapiga hatua kubwa
Ni bora angeaachana na mwnaamke tu aendelee na maisha yake ,sema kila mwanadam na kichwa chake

Ova
 
Mwili wa marehemu Naomi Orest Marijani aliyeuawa na mume wake kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na mume wake Hamis Luwongo Mei 15, 2019 Maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam, unaagwa kwa baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwaajili ya kusafirishwa kwenye maziko nyumbani kwao Moshi Kilimanjaro.

Hii ni baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam na Jaji wa mahakama hiyo Hamidu Mwanga kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa mume wake Hamis Luwongo kukutanika na hatia ya kumuua mke wake wa ndoa, Naomi Marijani.View attachment 3270098
kwani alibaki? mi nilidhani aliisha kabisa na majivu ndo jamaa akafanya mbolea kule aliko panda mgomba
 
Huyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.

Hiyo ni stori yake aliyoitoa kwa mwenzake gerezani

1 - akijua binqdamu mwingine aliyeshuhuhudia keshakufa

2 - amesema hayo wakati anasubiri hukumu!

Angewezaje kukiri kaua kikatili hukumu yake bado ?

Mahakama haikununua hiyo stori, ndo maana kapewa kitanzi.

Kwa saab kuchoma moto maiti sio kosa la kuua na kunyongwa. Amepewa kitanzi kwa kosa la KUUA KWA MAKUSUDI
 
Tuishi na wake zeta kwa akili kubwa sana, pale unaposensi huenda balaa litatolea ishi shamba mbali naye kwakuwa wanawake wameumbwa kuchukia kuishi shamba (baadhi hasa wa mijini) basi atajitenga nawe utakuwa na amani.
 
Hamisi ni Muislam kwanini asinge ongeza mke na Dini ina ruhusu tena Wake wa nne, Yeye angel mke mwingine tu mbona Dar pisi kali zipo nyingi tu tena angeo mke wa pili na angeishi nao pamoja, Wazee wetu hawakufanya matukio ya kikatili kwasababu walikua wana oa wake wengi utakuta Mwanaume kaoa wake 6 au 4 kwahiyo Mke mmoja akizingua anaamia kwa wengine.
Acha tuu mkuu.
 
Sasa baada ya kumnyonga huyo jamaa, halafu Naomi anatokea itakuwaje?
Walfanya DNA kwenye majivu ,alipo chomewa ,alipozika majivu na kupanda mgomba,na kudhibitisha ni majivu yenye mabaki ya marehem Naom ,Kwa iyo no where Naom can be found apart from paradise / hell
 
HAMIS NI SHUJAA WA MIAKA YETU HII

Mithali 16:18–19
18 Kiburi hutangulia maangamizi, roho ya majivuno hutangulia maanguko.
19 Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho miongoni mwa walioonewa kuliko
kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.
 
Katazame video za mtoto wao jinsi alivo kwenye huu msiba..yaani kabla hujafanya lolote kama una watoto watazame usoni, ufikirie maisha yao baada ya maamuzi yako yatakuaje!?
Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mim

Yani nikuoe unirudie nyumbani kwangu saa 7 usiku umelewa na maneno ya shombo.

Hata mie nakutoa kichwa.
Hivi mbona story ni vice vers mwanaume ndo alirud asubuh baada ya kutokua nyumbani siku 5 alikua kwa mage..na mzozo ulianza baada ya simu ya mwanaume kuita alikua anapigiwa na huyo mage...gather your facts kabla hamjaongea upuuuzi 😏
 
Huyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
Aliua
Mkewe alipoanguka na kufariki hakutakiwa kumchoma - angeacha hivyo na shitaka lake lingekuwa kama Lulu vs Kanumba

Yaani kuua bila kukusudia
 
Aliua
Mkewe alipoanguka na kufariki hakutakiwa kumchoma - angeacha hivyo na shitaka lake lingekuwa kama Lulu vs Kanumba

Yaani kuua bila kukusudia

Kwa hiyo amehukumiwa kifo kwa kuchoma maiti moto ?

Nadhani unapotosha

Tofautisha kosa la kuua na la kuchoma maiti

Na hiyo stori kofi moja sijui ngumi moja akakwepa akaanguka akafikia kichwa akafa HIYO NI STORI YAKE YEYE HAMISI!

Hamisi kaandika kitabu au Boni Yai sijui kaandika kitabu based on hadithi ya Hamisi mwenyewe!

Ukweli anaujua Mungu na Hamisi.

Hamisi mwenyewe hana credibility, mwanzo aliongopa kwamba Naomi kapotea. Hamisi ni mwongo mwongo. Why believe his story ????
 
Moshi Kilimanjaro au Upareni? Mbona Wapare hampendi kutaja kwenu?
Wapare Malaya Sana
hakuna mwanamke ambaye sio malaya.inategemea na yeye mwenyewe.jiulize uyo uliye nae wewe ni mtu wa ngapi kwake?
 
Huyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
Kilichofanya afungweni.hili.la.kumchoma moto!Angereport police pengine angefungwa miaka.michache akatoka-alifanya ujinga,Likishatokea kama.hili.dont panic...Na pia.Mwanamme ukiona.mwanamke.anaongeza.amri.ya 11 kwenye Mausiano Achana nae. Ukifosi kubaki.kwenye Mausiano haya ndo matokeo yake
 
Kimbia kwa Usalama wako, tena Hama nyumba kapange self container room moja chaaap.
Piga kazi mbwa inayokusumbua itapata akili baadae wewe ushapata mke mwingine
Akili zikimrudia anakukuta wewe ushamove on! Mwanamke hisia zake ndo kipaumbele chake akumbuki wala.kujali hisia au mwana.mme kujitoa kwake
 
Back
Top Bottom