Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kuna picha zingine za huyo mwanamke,kwan hujazionaDuuh mkuu yan kuona sura tu bas ushajua kuwa ilikua pisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna picha zingine za huyo mwanamke,kwan hujazionaDuuh mkuu yan kuona sura tu bas ushajua kuwa ilikua pisi?
Ww ndio umepotoka ushahidi ni ule nimekupatia hapoKatazame video za mtoto wao jinsi alivo kwenye huu msiba..yaani kabla hujafanya lolote kama una watoto watazame usoni, ufikirie maisha yao baada ya maamuzi yako yatakuaje!?
Hivi mbona story ni vice vers mwanaume ndo alirud asubuh baada ya kutokua nyumbani siku 5 alikua kwa mage..na mzozo ulianza baada ya simu ya mwanaume kuita alikua anapigiwa na huyo mage...gather your facts kabla hamjaongea upuuuzi 😏
Huenda iko kisheria zaidi, walikuwa wanasubiri hukumu.Kuwasumbua watoto tu,walikua wapi muda wote huo baada ya jamaa kusema alimuua na kumchoma moto
Hapana mkuu sijaona. Kuna misingi flan kwenye mapenzi ikishakiukwa huwa hata ule uzuri uliokua unauona mwanzo unaondoka kabisaaKuna picha zingine za huyo mwanamke,kwan hujaziona
Wacha ujinga mkuu! Kama mmeshindwana kwa nini msiachane salama?Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mimi.
Hiyo ndiyo dawa mkuu! Yaani uache ugali wa muhogo kwa samaki aina ya Mumi kizembe hivyo? Haiwezekani aiseee!🤣🤣🤣Ajifanye kichwa ngumu...anadhani tunaoacha kimyakimya na kuendelea na maisha yetu yaliyobakia duniani wanatuona wajinga
Ila Jeshi la Polisi bwana likiacha kutumia akili za CCM, ni Jeshi moja zuri sana! Unapigwa interrogation mpaka unasema ukweli na unaenda kuonesha ulipoficha!Jamaa alianza kudanganya mahakamani kwamba hakumuua Naomi yupo atamtafuta
Alichanganywa na udongo kama mbolea kwenye shamba la migomba! Jamaa lilikuwa katili sana!Duh hakuzikwa?
Duh kuliko kumuua MTU bora uachane naye.Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mimi.
Double penetration sio?Umalaya wake umemponza kumamakeezake kaungua duniani anaenda kuungua na huko kwa Bwana Devil Shetani
Mi nakuelewa sanaWapare,waoane wenyewe kwa wenyewe!
Nimesema TU,Kuna siku mtanielewa
Kwamba kaonja Moto mara ya kwanza, bado ya MwishoNadhani ni mabaki ya mwili wake, maana alichomwa moto.
Siku zote ukishirikisha akili kwenye maamuzi na kuacha sikiliza hisia na roho, huwezi fanya maamuzi ya kukosea.Alimpenda na aliwekeza sana kwake...alafu huyu jamaa alipotokea hadi kufikia hapo alipo dah alishapiga hatua kubwa
Ni bora angeaachana na mwnaamke tu aendelee na maisha yake ,sema kila mwanadam na kichwa chake
Ova
Naona thread nzima umekomas na wapare, vipi kabila lako nyie ni saints hakuna wazinzi na malaya?Majivu yanasafirishwa hadi UPARENI? Kwenye coaster? Wapare punguzeni UMALAYA
Mimi pia MALAYA/MPARE wa NdunguNaona thread nzima umekomas na wapare, vipi kabila lako nyie ni saints hakuna wazinzi na malaya?
Jamaa yupi,chanzo ni mwanamke kuchepuka chepukaUlisikia jamaa alichosimulia au unaandika tu mkuu?
We ua tu
Sawa malaya wewe, usijumuishe kila mtu kwenye issue ya umalaya, hakuna kabila lisilo na wahuni, wezi, majambazi, wachawi na malaya. Unataka kuniambia pale Ndungu kila mwanamke ni malaya?Mimi pia MALAYA/MPARE wa Ndungu
Sisi Wapare ni Malaya tunajuanaSawa malaya wewe, usijumuishe kila mtu kwenye issue ya umalaya, hakuna kabila lisilo na wahuni, wezi, majambazi, wachawi na malaya. Unataka kuniambia pale Ndungu kila mwanamke ni malaya?