Kuna siri gani watumishi wengi wakistaafu tu uwa hawakai sana wanakufa.
Ila picha yake ya mwisho alipokuwa akiagwa na kugabidhiwa gari mwezi wa nane alionyesha hakuwa sawa kifya nilinotes hiko kitu.
JE HAKUSTAHILI KUPANDISHWA? HAKUWA NA VIGEZO?Poleni sana, Magufuli alimkubali sana, alimpandisha vyeo kabla ya muda
Then mwaka uliofuata akawa Meja Jenerali, yaani akawazidi hadi maseniours wakeRIP kamanda, nakumbuka ulipopata shavu kutoka col kuwa brig.
Sasa unamkatalia Mungu aliyeamua kuchukua mtu wake au unamkatalia nani afsa?RIP japo sijaridhika Bado mdogo na mkakamavu mbona!!?
Hapana aiseh,mi nimekataa!
Kumradhi!
Ukuta wa Mererani, nyumba za wizara Jijini Dodoma, nyumba za askari magereza kule ukonga, kuijenga vzr Ruvu JKT, etc.Kwanini unasema hivyo? Maana nilijua alimpenda sababu ya kazi ya ukuta wa Merelani.
Sarakikya ana miaka 90, yupo Imara mpaka sasa, anaongea na anakumbukumbu nzuri, yaani sijui Siri ya uimara wake ni nini.RIEP Maj Gen wana Ruvu tutatukukumbuka daima, laiti Magufuli angekuwa hai ungeshakuwa CDF Kitambo sana, kina Msuguri na mwenzie Sarakikya bado wanadunda tu
Kuanzia Cheo cha Meja Jenerali, anaendelea kulipwa asilimia themanini ya Mishahara yake mpaka kufa kwake, na anaendelea kulindwa na wanajeshi, na kupewa V8, na posho zingine, kwanza pesa anayopewa akistaafu ni kubwa, Hawa jamaa wana hela sana, hawakatwi mifuko ya hifadhi ya jamii ila pensheni zao ni kubwa mno kuliko watumishi wa umma wanaokatwa.Mkuu jeshini kuna vyeo ukifika hata ukistaafu, unaendelea kuhudumiwa bure mpaka unakufa, kuanzia kanali nafikiri kwahiyo hiyo haikuwa sababu
Leo mafwele amesali kanisa gani!!?Sasa unamkatalia Mungu aliyeamua kuchukua mtu wake au unamkatalia nani afsa?
Bila shaka kamanda alikuwa anatokea KyagataSasa unamkatalia Mungu aliyeamua kuchukua mtu wake au unamkatalia nani afsa?
Mabeyo kaondoka 2022, huyu akiwa na miaka 59.....Tuliopitia jkt tunajua huyu mzee alikuwa hapendi kuruta aonewe, akikuta askari anamuonea kuruta anaweza hata akampa adhabu lakini pia alikuwa mtu poa hata kwa wanajeshi wenzie, kwa kifupi alikuwa anakubalika ndio maana wengi walisikitika alivyonyimwa u-cdf baada ya magu kufariki
Sarakikya ana miaka 90, yupo Imara mpaka sasa, anaongea na anakumbukumbu nzuri, yaani sijui Siri ya uimara wake ni nini.
Kwanini?Hata cdf mabeyo ni wa kumwombea Kwa Mungu sana!
Tetesi eti alimwambia mama unaapishwa Ili umalizie awamu ya Tano halafu uachie chama kiamue awamu ijayo,ye alipoingia tu akapiga U-turn ya karne!!Kwanini?
Mabeyo alistaafu akiwa na umri gani, na mbona huyo maj gen alistaafu utumishi jeshini mwaka huu, usikariri siyo kila kazi na kila cheo lazima kustaafu ukiwa na miaka 60Mabeyo kaondoka 2022, huyu akiwa na miaka 59.....
ulitaka apewe u-cdf akiwa bado mwaka kustaafu?
Zaidi ya 60....mkuu aliongezewa kidogo na jiweMabeyo alistaafu akiwa na umri gani mkuu
832Kj op kikwete, RIP mkuu wa kambiMeja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu, kifo cha Mbuge kimethibitishwa na Mtoto wake wakati akiongea na @AyoTV_.
Itakumbukwa August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam.
Mbuge amepitia katika nafasi mbalimbali za Uongozi ikiwemo kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa Kagera na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu.View attachment 3122553