TANZIA Aliyewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge afariki dunia nchini India

RIEP Maj Gen wana Ruvu tutatukukumbuka daima, laiti Magufuli angekuwa hai ungeshakuwa CDF Kitambo sana, kina Msuguri na mwenzie Sarakikya bado wanadunda tu
Sarakikya ana miaka 90, yupo Imara mpaka sasa, anaongea na anakumbukumbu nzuri, yaani sijui Siri ya uimara wake ni nini.
 
Mkuu jeshini kuna vyeo ukifika hata ukistaafu, unaendelea kuhudumiwa bure mpaka unakufa, kuanzia kanali nafikiri kwahiyo hiyo haikuwa sababu
Kuanzia Cheo cha Meja Jenerali, anaendelea kulipwa asilimia themanini ya Mishahara yake mpaka kufa kwake, na anaendelea kulindwa na wanajeshi, na kupewa V8, na posho zingine, kwanza pesa anayopewa akistaafu ni kubwa, Hawa jamaa wana hela sana, hawakatwi mifuko ya hifadhi ya jamii ila pensheni zao ni kubwa mno kuliko watumishi wa umma wanaokatwa.
 
Mabeyo kaondoka 2022, huyu akiwa na miaka 59.....
ulitaka apewe u-cdf akiwa bado mwaka kustaafu?
 
Binadamu hata uwe na vyeo vya aina gani lazima utakufa tu.
Jambo la msingi ni upendo kwa binaadamu wenzako.
Viongozi wenye vyeo msiwanyanyase walio chini yenu, tendeni haki.
 
832Kj op kikwete, RIP mkuu wa kambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…