Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Usiku halali full maluelue
 
Nina mchumba ninayetarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshatoa. Naomba mahakama iniachie huru. [emoji23]
Duh . Huo ndio utetezi wa mtu mwenye degree aliyewahi kua mkuu wa wilaya?
Hizi teuzi hazinaga interview??
 
Ziara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!
 
Usisahau kama Makonda alikuwa kwenye kamati ya ulinzi wa mkoa alienda kutimiza jukumu lake na sheria ina mruhusu kwenda sehem yeyote kwa kushtukiza kwenye mkoa wake.

Tafuta kesi nyingine kwa hii anachomoka kwa urahisi sana
 
ushauri wangu akimbilie Burundi faili lake linakaribia kukamilika ,kazi anayo ulaya wala amerika hatakiwi pompoe alimaliza kazi
 
What Goes Around-Comes Around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…