Usiku halali full maluelueNimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Kapilimba mtu smart usimchafueMakonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
Tafuta bwana mwingine,sabaya anaozea jela dadaKwani Sabaya amefungwa?? Baadae unaanza kulaumu mahakama.
17/3/2017 kavamia clouds na kukingiwa kifua na boss wake kuwa achape kazi na asisikilize maneno ya mitandaoni..
Makungu anaweza kuwa na tuhuma kuliko mtu yeyote dunianiYaani Makungu huyu huyu RAS wa Tabora?
Tetesi : 9/marchBaba aliyekufa Trh 17/03/2021 analiwa na funza na kuteswa na malaika wa adhabu...Mbowe siyo gaidi na Tanzania hakuna ugaidi!
wako wengi ila namkumbuka IdugundeWakukaja hivi yule mwalafyale aliekua anamtetea sana sabaya mara ni kijana wa mwendazake anaitwa nani? Tulikua tunamweleza dogo anakula mvua anabisha ni nani jina lake?
Duh . Huo ndio utetezi wa mtu mwenye degree aliyewahi kua mkuu wa wilaya?Nina mchumba ninayetarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshatoa. Naomba mahakama iniachie huru. [emoji23]
Hivi Paul Makonda ndiye Nani?
Ziara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!Nimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Unaamini maneno ya kipumbavu ya Kigogo wa TwitterMakonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
Na marekani kapigwa Ban asiguse labda akimbilie china
Dah!...vyeo hivi...Aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama mkoa wa Dar akisalimiana na makamanda wake.
View attachment 1976778
Mbususu ya kipare hapana chezea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina mchumba ninayetarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshatoa. Naomba mahakama iniachie huru. [emoji23]
Mkuu ni Kipilimba siyo Kipilimba.Makonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
What Goes Around-Comes Around.Nimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Makonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.