Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Paul makonda ni gaidi..alimpiga marisasi lissu aisaee...huyu dogo na roho mbaya saana kwa kweli

Watoto wa Jiwe walijua baba yao hatakufa..kafaaa na watanzania tuliomba sana corona ifanye yake....ikatenda...
Pale ndio corona ilitenda haki!
 
Wavunja nchi ni wananchi..., Yaani huku tunalalamikia madaraka ya Rais kuvuka mipaka, wakati ule ule tunaomba / tunataka aendelee kuleta mambo ya ki-ufalme

Tuchague moja.... Kama vipi tuachane na haya mambo ya mihimili
 
Zaidi ya hatari see, ila alilindwa na mtu mmoja mnene sana.
 
Wavunja nchi ni wananchi..., Yaani huku tunalalamikia madaraka ya Rais kuvuka mipaka, wakati ule ule tunaomba / tunataka aendelee kuleta mambo ya ki-ufalme

Tuchague moja.... Kama vipi tuachane na haya mambo ya mihimili
Suala la kumshtaki Makonda liko ndani ya mhimili wa Rais kupitia ofisi ya DPP. Ila kusema Makonda ana hatia au hana hatia ndiyo liko mhimili wa Mahakama
 
Waganga ndio waliomshauri upumbavu Ili wale pesa zake na hawana uwezo wa kumuokoa.
Waganga wangekuwa na uwezo wangemfufua kwanza Magufuli maana walikuwa ni sehemu ya maisha yake
Hana lolote wakati bado haujafika wakulipa aliyoyafanya
Makonda hawezi kukwepa kunywea kikombe anachonywea Sabaya, ni suala la muda tu
 
Waganga wangekuwa na uwezo wangemfufua kwanza Magufuli maana walikuwa ni sehemu ya maisha yake

Wale wa Simiyu sijui walifia wapi na mkwara wao
Makonda hawezi kukwepa kunywea kikombe anachonywea Sabaya, ni suala la muda tu
Kabla ajaondoka duniani ni lzm alipwe hesabu zake
 
Karma ipo hapa hapa Mkuu yule sniper aliemtishia bastola Nape alikingiwa kifua ona sasa kapata stahiki yake maana kama polisi wangemchukulia hatua wangeweza kunusuru mauaji ya mfanyabiashara wa madini kitendo cha kumuacha huru inaonekana amefanya madudu mengi sana na Mnyaazi Mungu amewaumbua wauaji na wanaowalinda wauaji wote..
 

Nasisitiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…