Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #381
Makonda ni mhalifu usimtetee, ni suala la muda tu atakabiliana na mkono wa sheria. Kutakachomuokoa ni kifo tu kama MagufuliAkili ya kitanzania ndio hii kufurahia kuanguka kwa mwenzake.
Labda upeleke kikosi cha kwako ndio utaweza kumkamata.