Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Taahira ni wewe TAKUKURU walishasema hawana nia! Kashitaki wewe hapo acha maneno!
We dada soma alama za nyakati, TAKUKURU ya mwendakuzimu siyo TAKUKURU itakayokuwa ya miaka miwili,mitatu ijayo.

Huyo bwana 'ako lazima akinywee kikombe![emoji16][emoji16]
 
We dada soma alama za nyakati, TAKUKURU ya mwendakuzimu siyo TAKUKURU itakayokuwa ya miaka miwili,mitatu ijayo.

Huyo bwana 'ako lazima akinywee kikombe![emoji16][emoji16]
Taahira nani dada hapa!? Ujue pia hawafanyi kazi kwa mihemko kama ww!
 
Hivi jf tutakuwa na watu wanaojua mambo kwa undani lini? Lazima ujue makonda alikuwa mtu wa nani na sabaya alikuwa mtu wa nani. Na kwa nini sabaya kafikia huku kote?
 
Kweli Tanzania ni nchi ya amani!!Yaani kwa maumivu yale ya teka teka watu!Bado Makonda hajapigwa wala kujeruhiwa na kina MO,ROMA MKATOLIKI,WAHANGA WA KUTAJWA KWENYE MADAWA YA KULEVYA!!NA N.K???MI NILIDHANI HADI SASA MAKONDA ANGEKUA KABURINI!!!!
Angekua mexico huyu

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ila watu wale walikuwa wanafanya ukatili hadharani afu wanatufunga watanzania kwa kutumia neno Mungu kilawakati
 
Mbowe atakapo pigwa miaka 40 kwenda jera Akili zitaanza kukaa Sawa.
Hii Serikali tunayoiamini itageuka kuwa Serikali ya Awamu ya 6 ni mbaya . Ni swala la wakati na Muda .
Rais kasha tangaza nia 2025 kikwazo kipo Chadem akipigwa jera njia nyepesi.
Tundu lissu alifanikiwa kurudi Nchini uchaguzi uliopita Serikali ya Awamu ya 6 hawataruhusu Lissu kurudi Nchi kwenye uchaguzi ujao 2025.
 
Mama hana mshkaji, Utawala wake haangalii sura ya mtu! Hata huyo Mulamula akizingua anamchomoa! Bashite muda wake unakuja soon, ni mtu mmoja tu atalianzisha then uchafu wote utawekwa hadharani, anamaadui kila sehemu; Upinzani, ndani ya CCM, marafiki wake wa zamani, wastaafu, Wafanyabiashara wakubwa, wananchi maskini, wafanyakazi....Kifupi hachomoki safari hii
Aaaaaaa Liberata Mulamula ni bomu hapa Foreign Affairs!! That woman is hopeless and unethical to the maximum

😆😆😆😆 alitaka ampange Ubalozi Usswis mdogo wake, Edwin Rute aliyekuwa DG wa Range are lakini alichemka akabakishwa hapohapo Foreign Dar!!
 
Aaaaaaa Liberata Mulamula ni bomu hapa Foreign Affairs!! That woman is hopeless and unethical to the maximum

😆😆😆😆 alitaka ampange Ubalozi Usswis mdogo wake, Edwin Rute aliyekuwa DG wa Range are lakini alichemka akabakishwa hapoh
Aaaaaaa Liberata Mulamula ni bomu hapa Foreign Affairs!! That woman is hopeless and unethical to the maximum

😆😆😆😆 alitaka ampange Ubalozi Usswis mdogo wake, Edwin Rute aliyekuwa DG wa Range are lakini alichemka akabakishwa hapohapo Foreign Dar!!

apo Foreign Dar!!

Aaaaaaa Liberata Mulamula ni bomu hapa Foreign Affairs!! That woman is hopeless and unethical to the maximum

😆😆😆😆 alitaka ampange Ubalozi Usswis mdogo wake, Edwin Rute aliyekuwa DG wa Range are lakini alichemka akabakishwa hapohapo Foreign Dar!!
...aliyekuwa DG wa Tantrade 🖕
 
Roma:
Jitokeze sasa rasmi uuseme ukweli, maana ulipata kusema baada ya kuachiwa kua waliokuteka walimtaja makonda kama aliewatuma.
Ni muda wa kuielezea dunia kile ambacho watesi wako walikua wanakueleza juu ya kuagizwa na makonda.
Hautakiwi kuficha kitu chochote kile kwenye hilo suala na walimtaja makonda mara nyingi wakati wa utesaji wako, toka hadharani ili dunia ielewe nini kiliendelea maana ukikaa kimya haisaidii lazima ujitokeze na ukichelewa nitasema maneno uliyotueleza siku ile wakati tunakupa pole pale ndani tulibakia watatu tu nadhani ushakumbuka.
Roma ni msanii tu yule, achana naye
 
Hawezi kusema alirekodiwa video akiliwa jicho,akisema tu zinavujishwa,makonda ni shetani
Hiyo ni cheap blackmail hata akisema sasa hivi hiyo video haina nguvu haikua ridhaa yake
 
Roma:
Jitokeze sasa rasmi uuseme ukweli, maana ulipata kusema baada ya kuachiwa kua waliokuteka walimtaja makonda kama aliewatuma.
Ni muda wa kuielezea dunia kile ambacho watesi wako walikua wanakueleza juu ya kuagizwa na makonda.
Hautakiwi kuficha kitu chochote kile kwenye hilo suala na walimtaja makonda mara nyingi wakati wa utesaji wako, toka hadharani ili dunia ielewe nini kiliendelea maana ukikaa kimya haisaidii lazima ujitokeze na ukichelewa nitasema maneno uliyotueleza siku ile wakati tunakupa pole pale ndani tulibakia watatu tu nadhani ushakumbuka.

Paul Makonda alitupa siku kamili ya Roma kuachiliwa na waliokuwa wamemteka 😁😁
 
Hiyo ni cheap blackmail hata akisema sasa hivi hiyo video haina nguvu haikua ridhaa yake
Ogopa mitandao ndugu,kufumba nakufumbua clip zako ukiliwa tigo zinasambaa kwenye mitandao yote ya ngono na hazitoki hadi watoto na wajukuu zako watazikuta
 
Back
Top Bottom