Aliyoyafanya Egonga yapo duniani kote sema ni siri tu! Ila watu wengi sana wanatafunana maofisini kimya kimya

Nani kakuambia hawa wa mtaani hawagongwi? Uliza bodaboda watakujuza.
 
Sure mkuu kuna bosi wa taasisi moja kwa level ya mkoa kwa sasa yupo mwanza na kitambo kidogo alikuwa moja ya mikoa ya kusini...
aiseee anatafuna wanawake wa ofisini hadi wananuniana
Mungu akupe rehema usimtaje ila ni aibu aibu ... Anayopostigi Mange kimambi huko ukweli mtupu tena kipindi hiki ndo vimezidi bora kipindi cha magu
 
Siwezi Kuoa mwanamke wa ofisini au msomi maana Niko ofisini najua nachoongea ,Kila bosi lazima awale huu ni upumbavu
 
Baada ya kuingia kwenye system ndio nkagundua wavaa kobaz wanasheriw nzurii sn dhidi ya mwanamke , kama unataka kuongeza kipato fungua ofisi mwajiri mtu ila mkeo abakie nyumbani kuitunza familia
Kwamba wake za wavaa kubasi hawatafunwi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ