Upo huru kuchagua kama kubakia Anonymous au kujamiiiana (socialisation)Wengi sisi tumesoma IT na tunaifahamu, anonymity ya mitandaoni can easily be given away ukianza kuingiza hizi social interactions. Nyie mnaotaka kukutana, nendeni twitter kule wako more social than huku. Acheni kutuletea majaribu yasiyofaa
π Mvua leo imekubali??Kaka Leo zimepiga radi sana huku
Dada yangu Depal emekumis sana kakaKwema kaka Tupo tunapambana kaka
Kabisa inanyesha mdogo mdogoπ Mvua leo imekubali??
Kitambo sana sijakuona rafiki yangu Carleenππ
Nakusalimia kaka Elli, mambo ya humu ndani huwa yananifurahisha sana bhaana..!!
Sito kuwepo bro, labda uende we nusu albinooNimewaachia kina Mpaji Mungu na kimeza Intelligent businessman
Bro shida we mzee wa italy, ninge kupa deal la kuwinda nyani shamba la nyanya π€£πChinga Intelligent businessman yupo kwenye mabibo na korosho mda huu ππ€£π€£π
Kaka unaogopa Kila mtu atakiona kipara chakoSito kuwepo bro, labda uende we nusu albinoo
Kaka nipe Dili kaka ππBro shida we mzee wa italy, ninge kupa deal la kuwinda nyani shamba la nyanya π€£π
MmmmmhMie nadhani mtu kutumia ID yake itakuwa sawa zaidi, yaani kuwepo usajili kwa wote watakaopenda kuhudhuria, wasajiliwe online kwa kutumia user name kisha wapewe kitambulisho cha kuvaa shingoni siku ya kusanyiko.
Soma hii comment chini sasaππ
Nakusalimia kaka Elli, mambo ya humu ndani huwa yananifurahisha sana bhaana..!!
Basi itapendeza tuonanane kabla. Ili siku ya sherehe tuingie wote na hako kagari kakoShem tusisubiri hadi sherehe za JF, siku ya sherehe nitakuja na gari yangu kama Lodi Lofa
Ewaaaaaa hapo sawa Kabisa, haya utatoa muongozo Tu ShemBasi itapendeza tuonanane kabla. Ili siku ya sherehe tuingie wote na hako kagari kako
We muitaliano wa fast jetππ€£Kaka nipe Dili kaka ππ
UsijaliEwaaaaaa hapo sawa Kabisa, haya utatoa muongozo Tu Shem