Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawa Mkuu hizo ndio zenyewe ile ya Internet ime click lkn dah kipengele..karibu ununio huku upepo unakovumaHahaha, Baadae mkuu. Tumalizie mwendo kidogo.
Abaadae tuta bonga kuhusu deal za nje ya box.
π Tulishawaachia wewe na kaka Charles kilian hivyo vituWewe yako soju tu, ng'ang'aduma mkubwaππ
Cheers Comrades, Comredooo π€£ kuna Comredoo mwenzangu nilipotezana nae 9 yrs imepita, Hivi naweza nika Circulate Tangazo langu kwanzia humu itafit and work in appropriately? πππBut ain't fair at allπ€£π, remember we are still comrades!!
ππ€£π€£πππππππ Tulishawaachia wewe na kaka Charles kilian hivyo vitu
Ununio tegeta au ?Sawa sawa Mkuu hizo ndio zenyewe ile ya Internet ime click lkn dah kipengele..karibu ununio huku upepo unakovuma
Mzee wa deal chinga usije ku mpa mwenzii Dili za kwenda kupata utajiri uko kwenu ngendeππ€£πππHahaha, Baadae mkuu. Tumalizie mwendo kidogo.
Baadae tuta bonga deal za nje ya box.
Feel free madam, as long asiwe competitor wa kutake out my colonyπCheers Comrades, Comredooo π€£ kuna Comredoo mwenzangu nilipotezana nae 9 yrs imepita, Hivi naweza nika Circulate Tangazo langu kwanzia humu itafit and work in appropriately? πππ
ππππππππ Hii kubwa kuliko aiseee!!!
Ununio kama unaenda mbweniUnunio tegeta au ?
Pazuri sana pande hizoooo napaelewa sana hapo inafaa chinga atoke mtwara to dar aje kusuuuza macho maana kashazoea kula mabibo na kukaaa juu ya mikorosho Cc Intelligent businessmanUnunio kama unaenda mbweni
Shida vijana wenzagu huwa mna hisi jokes kila saa.Mzee wa deal chinga usije ku mpa mwenzii Dili za kwenda kupata utajiri uko kwenu ngendeππ€£πππ
Congo sehemu Gani π embu nipe Dili hiloo maana na Mimi nataka kuingia Lubumbashi mwezi ujaoShida vijana wenzagu huwa mna hisi jokes kila saa.
Niki kuambia nawekwa kwenye channel ya kupeleka dagaa congo uta amini??
Bei ni Mara 3-4 ya Huku??, Kikubwa naji tuliza kwa nafasi.
Halafu niki hit the lottery mna sema kaiba au mchawiπ€π
Hahaha, ngoja nione na settle vipi na wakubwa.Sawa sawa Mkuu hizo ndio zenyewe ile ya Internet ime click lkn dah kipengele..karibu ununio huku upepo unakovuma
Hahahahahaha...Chinga One ...pazuri Mbweni..huku ununio ni kama uswazi zingine..wazaramo wa kutoshaPazuri sana pande hizoooo napaelewa sana hapo inafaa chinga atoke mtwara to dar aje kusuuuza macho maana kashazoea kula mabibo na kukaaa juu ya mikorosho Cc Intelligent businessman
Hahaha angalia juu Kisha chini, utapaona nanjilinjii π€Congo sehemu Gani π embu nipe Dili hiloo maana na Mimi nataka kuingia Lubumbashi mwezi ujao
π€£ π€£ Colony whomwhosewhowhen, last time kuna mahali nilikudirect ukaombe ruhusa! Tufanye tena Mr jobleeee?π€£π€£π€£π€£Feel free madam, as long asiwe competitor wa kutake out my colonyπ
Haya mkuu nakuaminia...hii ya Chinga imetoka wapi tena ?Hahaha, ngoja nione na settle vipi na wakubwa.
Baadhi deal wanazo, ila mpk uwe mtumishi mahiri kwa muda mrefu ndo unaeza pewa nafasi ya kuongoza mtumbwi. Hahaha.
ππ€£ππ We wauzie wale jamaa wanaotoka kasumbalesa wakuibie mtaji wako wa dagaa na hizo korosho zako π vipi skuizi kazi ya kuchoma mkaa umeacha au badoπ€£πππHahaha angalia juu Kisha chini, utapaona nanjilinjii π€
Nime kaa oysterbay kule yalipo majengo ya UNICEF, una nyooka hadi majengo ya balozi wa Oman.Pazuri sana pande hizoooo napaelewa sana hapo inafaa chinga atoke mtwara to dar aje kusuuuza macho maana kashazoea kula mabibo na kukaaa juu ya mikorosho Cc Intelligent businessman
Matani ya vijana wenzagu haya, kutaka kujua nilipo.Haya mkuu nakuaminia...hii ya Chinga imetoka wapi tena ?