All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Mzee wa deal chinga usije ku mpa mwenzii Dili za kwenda kupata utajiri uko kwenu ngende😂🤣😁😁😁
Shida vijana wenzagu huwa mna hisi jokes kila saa.
Niki kuambia nawekwa kwenye channel ya kupeleka dagaa congo uta amini??

Bei ni Mara 3-4 ya Huku??, Kikubwa naji tuliza kwa nafasi.
Halafu niki hit the lottery mna sema kaiba au mchawi🤔😀
 
Shida vijana wenzagu huwa mna hisi jokes kila saa.
Niki kuambia nawekwa kwenye channel ya kupeleka dagaa congo uta amini??

Bei ni Mara 3-4 ya Huku??, Kikubwa naji tuliza kwa nafasi.
Halafu niki hit the lottery mna sema kaiba au mchawi🤔😀
Congo sehemu Gani 😂 embu nipe Dili hiloo maana na Mimi nataka kuingia Lubumbashi mwezi ujao
 
Pazuri sana pande hizoooo napaelewa sana hapo inafaa chinga atoke mtwara to dar aje kusuuuza macho maana kashazoea kula mabibo na kukaaa juu ya mikorosho Cc Intelligent businessman
Nime kaa oysterbay kule yalipo majengo ya UNICEF, una nyooka hadi majengo ya balozi wa Oman.

Mbele Kuna bango lime andikwa Justin a Kama sio b 🤣😀.
Niishie hapa, mkubwa Tresor Mandala nahisi ana pajua labda.
 
Back
Top Bottom