All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Niweke hapo namba 2 lazima nikae na babu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Lamomy wangu mim nina watoto wawili Feni tedoka first born na mshamba_hachekwi second born na baba yao ako humu humu ndani.
Huyo alikua rafki tu na siwez cz napenda mwanaume mwenye sifa za kiume.
 
Binamu malizeni tofauti zenu nyie mnapendana, ugomvi wa wapenzi naujua tone zao za uandishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie mna kitu
Mahiii dear mim sijawai kua na mahusiano wala na upendo wa kimapenzi na huyo kikulacho ingekua hivo basi kina poker, kina mshamba wote wangekua mabwana zangu kweli.

Kero yangu kubwa ilikua ni kunitukana hayo mambo ya mahusiano lbd anasema yeye.
Maan hadi kuna sehem kasema ety mim nimechukia cz nilidhani yeye ndio atakua future wangu. Hivi kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…