ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Salama kabisaOoh pole sana, uko poa lkn kipenzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama kabisaOoh pole sana, uko poa lkn kipenzi?
Mimi leo sisemi....cc mafuta😂Hivi unajua lazi za Wazee zilivyo Kali, we haya 😅
Nafurahi kusikiaSalama kabisa
Tupige kampeni bff ili tuuze white dress 🤣🤣Wewe huwendi shosti?? 😂😂😂😂
Niweke hapo namba 2 lazima nikae na babuOyoooooo!!! 😂😂😂
Ningeshangaa babu anaachaje kulipia meza ya VVIP huku wajukuu zake warembo tumepamba meza kwa white dresses tupo km white doves vile……
1.Lamomy
1………
2……
3……
4…….
5……
6……..
7…….
8……
9……
Wajukuu mjijaze wenyewe kabla idadi haijatosha 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Muwe kwenye hiyo party harafu mara msikie sauti inasema kwa nguvu na kwa kuamrisha, MUWAZUNGUKE WOTEE ASITOKE ATA MMOJA🤣😂
Hiyo kauli imefanya Vijana wapoteze Imani na Wazee 😜Mimi leo sisemi....cc mafuta😂
Tunyamaze mzeeHiyo kauli imefanya Vijana wapoteze Imani na Wazee 😜
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Lamomy wangu mim nina watoto wawili Feni tedoka first born na mshamba_hachekwi second born na baba yao ako humu humu ndani.Nyie nimegundua mnapendana ila mmeamua kutuchosha tu wambea 😂😂😂😂
Mfanye myamalize watu mmefikia hatua hadi familia zenu zinajuana!! Msitake tuingilie baadae tuonekane wabaya 😂😂😂
Binamu Lovelovie naomba muende chemba mkayajenge 😜
Mahiii dear mim sijawai kua na mahusiano wala na upendo wa kimapenzi na huyo kikulacho ingekua hivo basi kina poker, kina mshamba wote wangekua mabwana zangu kweli.Binamu malizeni tofauti zenu nyie mnapendana, ugomvi wa wapenzi naujua tone zao za uandishi 😂😂😂😂😂
Nyie mna kitu
Kwa kweli Mzee mwenzanguTunyamaze mzee
Kama ni kweli acha kula akina mwajuma😂Kwa kweli Mzee mwenzangu
Isingekuwa uzoefu wa kuhimili changamoto, hao Vijana wangefanya Kisukari na Presha vinipande 😜
Thanks God all is well now
Kwa kweli Mzee mwenzangu
Isingekuwa uzoefu wa kuhimili changamoto, hao Vijana wangefanya Kisukari na Presha vinipande [emoji12]
Thanks God all is well now
Shikamoo dadaShikamoo babu
Shikamoo dada