mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Mambo ya kishua haya nitaenda kuaibika na shati langu la tomato🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kishua haya nitaenda kuaibika na shati langu la tomato🤣
😂😂😂😂 Umefanya nimecheka sana babu!!!Pata ruhusa Kwa Cantry mapema, asije kutuharibia shughuli Kwa kuja kunikata mitama Babu yako 😅
Mambo yao tuwaachie wenyewe 😄Mambo ya kishua haya nitaenda kuaibika na shati langu la tomato🤣
Kama Vijana wote hawana Imani na Babu yao ndiyo iwe Cantry😅😂😂😂😂 Umefanya nimecheka sana babu!!!
Cantry hana kwere kabisaaa anajua babu hana madhara….
😁🤣😁😁🤣chinga Cc Intelligent businessman😂😂😂😂 Tena mimi siku hiyo nitajitambulisha kabisaa ili msihangaike kupiga ana ana do
Hapo kwa chinga na demu wake kuna kitu unakitafuta sio buree 😂😂😂
Dah hahahaaha nasikia watu waliweka na picha yake JF hahahhahahaaSiku hizi ameacha baada ya kujifunza Kwa Marehemu Thadeo Ole Mushi
Zamani sana Mashati ya Tomato 😅😅😅Mambo ya kishua haya nitaenda kuaibika na shati langu la tomato🤣
Na soon ataacha na kuandika Nyuzi zake, maana atajikuta anaandika alafu Teuzi wanalamba wengine 😅Dah hahahaaha nasikia watu waliweka na picha yake JF hahahhahahaa
😂😂😂 Hebu tuachie babu yetu banaU
una hekaheka sana, kumbe ulistahili kipondo cha jana
Oya Kuna watu wana magari humu usiwachukulie poa wengine wana magorofa Kariakoo Cc Mpaji Mungu
🤣🤣🤣🤣Kwa kujifariji upo vzrUtapewa namba ya kulipia bana, bro nakutegemea……!!!
Kataa ndoa wa humu wote waongo, huko majumbani mwenu mna wake wanawapekelesha mnaosha had vyombo. Ila huku kelele tu za kujaza server za Max 😂😂😂😂
Kijana alijichanganya 😁🤣Dah hahahaaha nasikia watu waliweka na picha yake JF hahahhahahaa
Kuna watu Wana frame za njeOya Kuna watu wana magari humu usiwachukulie poa wengine wana magorofa Kariakoo Cc Mpaji Mungu
😂😂😂😂 Babu huna mbambamba upo km semaji vile…Kama Vijana wote hawana Imani na Babu yao ndiyo iwe Cantry😅
Alafu Mzee wao mwenyewe umri umeenda kichizi 🤗
bado naongezea wengine kwanzaWale kuku wanaofata ushauri wa janabi ushauza?
Naelekea Mbeya muda huu, nitamtafuta nimnunulie hata kitimoto kilo moja huenda akili zinamrudia. Hii Party sio ya kukosaKijana alijichanganya 😁🤣