mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ndo mashati yetu babu sisi wa pangu pakavu😅Zamani sana Mashati ya Tomato 😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mashati yetu babu sisi wa pangu pakavu😅Zamani sana Mashati ya Tomato 😅😅😅
Oya we mu italy vipi tena 🤔, safari za ndege usha zIchoka 😀Nasubiri kumuona chinga na yule demu wake wa mwanza wameharibu Uzi wetu wa selfika Cc Lamomy
alianza kumsifia Tulia, akapigwa stop, akahamia kwa Makonda....dah hebu tupange mambo ya PartyNa soon ataacha na kuandika Nyuzi zake, maana atajikuta anaandika alafu Teuzi wanalamba wengine 😅
Boss wewe, mimi niko mkoa wangu nakinga maji ya mvua 😂😂😂😂
utafanye nipae sasa😂😂Njoo kipenzi....njoo laaziz waanguu🥵
Pacha sijui una shida gani na Mimi.😂😂😂😂 Tena mimi siku hiyo nitajitambulisha kabisaa ili msihangaike kupiga ana ana do
Hapo kwa chinga na demu wake kuna kitu unakitafuta sio buree 😂😂😂
Sogea sogea hapa aggrey na ndanda tupate juiceBoss wewe, mimi niko mkoa wangu nakinga maji ya mvua 😂😂😂😂
Ule mkosi mwanangu, una forciwa kupigiwa pande la lazima.😁🤣😁😁🤣chinga Cc Intelligent businessman
😁🤣Naelekea Mbeya muda huu, nitamtafuta nimnunulie hata kitimoto kilo moja huenda akili zinamrudia. Hii Party sio ya kukosa
Akifika nishtueSogea sogea hapa aggrey na ndanda tupate juice
🤣😁Ule mkosi mwanangu, una forciwa kupigiwa pande la lazima.
Kaka niko nanjilinjii 🤓, so haito wezekana jobless pro max kuwepo.
Niliona kuna kitu ulitaka kuniambia jana sijaona, leo nataka kukuuliza nashangaa uzi umefungwa 😂😂😂😂Pacha sijui una shida gani na Mimi.
Hata mama ali niambia niwe makini na wewe, maana nishukuru kukosekana kwa pilipili..
Lasivyo unge nitafuna tumboni🤔🤒.
Ngoja aweke vzr uso tumadoido aonekane binti wa 2000 kumbe mumama wa 81Akifika nishtue
Account Zina dateWazo zuri sana tupate kuona uhalisia wa wale tunaowadhania ndio kumbe sio.
Ikatokea kukawa na haja kila mtu aje na ID yake, kuna viumbe humu itabidi vijigawe. Maana humu kuna njemba zinachat kama mademu, kuna walimwengu wanamiliki ID mpaka 5 na zote zipo active. Kuna mpaka couples humu ambazo ni mtu mmoja. Jamaa anamiliki account ya demu na mwanaume halafu hizo account zina date.
😂😂😂😂 sipajuiSogea sogea hapa aggrey na ndanda tupate juice