Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

Usipifanya graduation usidhani mwanao ndio hatafanya Kama wa kike Kuna vidume vitamfanyia au Kama wa kiume viwifi vya hiari vitamfanyia Sasa usuke au unyoe
 
Ndio maana Kuna Uhuru wa kuchagua mtoto asome shule ya kiwango gani na pia unakuwa umeshejua taratibu za shule husika, cha msingi kama huwezi peleka mtoto shule za kata.
Bei ya mahindi haitaingiliwa, nadhani kwa vile hii ni secta binafsi, sidhani kama serikali inapaswa kuingilia pia.
 
Waleten kayumba huku hakuna ma pesa mengi
 
Usipifanya graduation usidhani mwanao ndio hatafanya Kama wa kike Kuna vidume vitamfanyia au Kama wa kiume viwifi vya hiari vitamfanyia Sasa usuke au unyoe
How?Kuna shule hazina graduation kabisa. Mkimaliza mitihani na kufunga shule ndo basi. Hakuna cha graduation wala nini.
 
Kama sio sehemu ya ada atapata cheti chake hata kama hakwenda kwenye graduation iyo iko wazi
Atakapokwenda kuchukua cheti atakuta deni. Wakati huo yuko peke take
UKIWA MASIKINI USIPELEKE MWANAO SHULE KAMA HIYO
 
Nyinyi ndo wale aina ya watu mkitongoza mademu mnajifanya mna pesa mnafanya kazi nzuli mnajifanya mnafanya kazi sehemu nzuli.

Siku demu akikupiga mzinga wa vocha ya jero tuu unaanza kusema Mara Ohoo sina hela Mara Ohoo mshahara haujatoka, Mara Ohoo mtandao unasumbua mwisho kabisa yakikushinda unakimbilia jf kuanzia thread
"mademu wa siku kwanini wanapenda helaa ""

Kumbe matatizo mnayatafuta wenyewe
 
hoja ni utajiri ama umaskini au suala la graduation ambayo uwepo usiwepo unaamuriwa kutoa 100,000? juu ya gharama kuwa kubwa, ukiita umasikini wala sioni maumizi maana maskni aliwalipaje ada 4yrs ? angalia hoja sio kingine mkuu

WATU MASIKINI WANA MATATIZO KWELII !!!!

HIYO SHULE NI YA WATOTO WA MATAJIRI SASA WEWE KINACHOKUUMA NI NINI KUCHANGISHWA 100,000
 
Kama mtoto hadaiwi ada na kamaliza pepa, hiyo graduu si lazima kama uwezo ni mdogo.
 
sio sehemu ya ada ndio maana iko pembeni na cha ajabu ni watu kulazimishwa kuchanga hata kama hawana muda wa kuhudhuria kwa vitisho kuwa iwapo hutachangaa hupewi cheti muda ukifika, is this how it is supposed to be?

Kama sio sehemu ya ada atapata cheti chake hata kama hakwenda kwenye graduation iyo iko wazi
 
Tupeleke watoto Shule za hadhi yetu hatujui tunawaathiri vipi Kisaikolojia tunavyoacha kuchangia baadhi ya entertainment huku wenzao wakienda
 
Hizi Tz kuna mdudu gani kichwani wakuuuu? mtu akilalamikia unjust expenditure isitafasiriwe eti hana hela, I can tell you wenye hela wote wako makini na matumizi kuliko maskini wengi wanavyofikiria .

LAKNI NIMESHANGAA NAONA POST NYINGI KAMA HUNA HELA, JIBU HILO NI SIMPLE KABISAA ASIYE NA HELA ATAKUWA ANADAIWA ADA NA HIVYO ANGEFUKUZWA KITAMBO HUKO FORM ONE OR TWO

Kama mtoto hadaiwi ada na kamaliza pepa, hiyo graduu si lazima kama uwezo ni mdogo.
 
UKO SAHIHI KABISAA, kitu anachotumia huyu ni kuwa wazazi hawataweza kutelekeza watoto wao wasifanye graduuu, misuse of trust. Najua wazazi watatoa hela kufurahisha watoto wao lakni ni very unjust. na hoja yangu ni hiyo kuwa UNJUST GAINS serikali haiwezi kuacha watu wajipatie pesa kwa njia za ujanja ujanja take my words

Tupeleke watoto Shule za hadhi yetu hatujui tunawaathiri vipi Kisaikolojia tunavyoacha kuchangia baadhi ya entertainment huku wenzao wakienda
 
Nimependa hapo uliposema RC alitazame hilo jambo,nikakumbuka pia kuna DC.
Kwa upande wangu nahisi ili ni swala ni la Afisa Elimu wa Wilaya na Bodi ya Shule ndio wahusika na wanapaswa kulisimamia kwa nguvu zote, kukiwa na walakini ndio DC alitolee tamko (Order)
Kuhusu kiwango cha mchango so kikubwa sana ukitazama na thamani ya fedha kwa sasa,sema yapaswa kupunguzwa ili kuruhusu familia zenye vipato vya chini kwa kipindi hicho cha sherehe zipate kujumuika na wapendwa wao kama ulivyopenda aina ya kujumuika,pia watu watambue kupungukiwa ni swala la kawaida na sio kitu cha kufanyia mzaha kama watu wasio na weledi wanavyodhihaki na pia ikumbukwe mchango mkubwa huumiza baadhi watu kwa kuwanyima nafasi ya kushiriki..wazo lako naliunga mkono.
 
Nakupa ushauri,pindi utapokuwa na familia yako au kama unayo tayari..uwe unashiriki mahafali na usijetumia nafasi yako ya kutokufanya sherehe kuwanyima jamaa au watoto wako haki ya kushereheka na kihitimu kuna furaha uliikosa au waliikosa ndugu na jamaa zako.Pia kuna taarifa wahudhuriaji huzipata na kujifunza bila kusahau Baraka ya kujumuika pamoja.
 
hoja ni utajiri ama umaskini au suala la graduation ambayo uwepo usiwepo unaamuriwa kutoa 100,000? juu ya gharama kuwa kubwa, ukiita umasikini wala sioni maumizi maana maskni aliwalipaje ada 4yrs ? angalia hoja sio kingine mkuu
KILA TAASISI INA UTARATIBU WAKE NA HIYO NI SHULE INA UTARATIBU WAKE NDO MAANA WAKAWEKA UTARATIBU WAO .........

SASA WEWE NI KAMA NANI UWAPANGIE WATU TARATIBU WALIZOJIWEKEA NDO MAANA HATA VYUONI KUNA UTARATIBU WAKE

UKITAKA KUSOMA VYUO VYENYE PESA ADA KUANZIA MILIONI MOJA NENDA IFM, CBE, ST.JOSEPH,TUMAINI .....

ILA UKITAKA VYUO ADA LAKI MOJA NENDA VETA
 
bodi sijui kama ipo, na hawa ma RC ama DC ndio wanatoa maelekezo kwa watendaji kama DEO ama REO kkushughulikia na kuripoti ndio maana tuna waadress straight. wao ndio wenye wilaya na mikoa. Asante lakni kwa kuwa na mawazo ya wenye akili. Ukisoma huko juu ni huna hela huna hela huna hela, ninakubali lakn angalizo lipo pale pale wasio na hela walifukuzwa form one two or three kwa kudaiwa ada, hawakufanya mitihani allianceschools maana ni private school. cha msingi watu wapate hela halali sio kuchomekea humo humo kwenye graduuuu kuvuna pesa, 20Mil and abaove za nini?

 
kumbe graduu ni ya mmliki wa shule? huelewi shule ni mmliki wazazi na wanafunzi? mmoja akigoma hapo ujue shule si shule tena. Yaani makubaliano kwenye mambo haya ni muhimu kuliko eti namiliki, sio kituo cha mafuta hicho ahahhahaha

 
Tanzania wajinga wengi ndio maana hata huduma zetu za msingi tunanunua

Serikali inajenga, barabara, hospitali na Huduma mbali mbali za kijamii halafu watu wanamshukuru Rais, utafikiri anatoa pesa yake mfukoni.

Halafu mtu anashangaa kwa nini ccm inazidi kutuburuza kama ng'ombe.
 
Shule nyingi za binafsi kwa miaka ya ‘graduu’ mchango wa mahafali huwa unajumlishwa kwenye ada, na sio kutozwa kwa kuchangia pekee yake.... labda baadhi ya shule zina utaratibu tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…