ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kabisa ! 👍🙌🙏Inakuja siku vyombo vya dola vinaenda kuwagomea. Mark this comment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ! 👍🙌🙏Inakuja siku vyombo vya dola vinaenda kuwagomea. Mark this comment.
Umeniwahi nilitaka kukumbushia ile kutukana wasitahafu 🤣Huyu huwa analewa madaraka mapema sana akipewa kacheo kadogo basi utamuona anatukana hadi Wastaafu.
Hepii lia lia...tulia watanzania sio wajinga hivyo.....no...reform....no electionVIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Uchaguzi ni wa Wananchi, wala Uchaguzi siyo wa Vyombo vya Dola.VIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Mpumbavu mkubwa HuyuVIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.VIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Ndio maana watu hawajitokezi kupiga kuraCCM wanategemea vyombo vya Dola Badala ya kujibu HOJA.
Tupo wananchi Kwa mamilioni nchinzima tu aotaka Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi mkuu
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.Big hand to Ally hapi, kusema tu ya kwamba uchaguzi hautafanyika, ni kosa kamilifu la jinai.
Unapinga mipango ya serekali kwa njia ambazo pengine huenda zikahusisha ugaidi/uvurugaji wa amani na usalama wa watu.
Anayezuia uchaguzi achapweVIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
--Pinned well, - - can't N never ever.(wagomee kiapo cha utiifu)
Ok, wish all the best!...Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.
Iko hivyo, hatuna mzaha kijana.Ok, wish all the best!...
Pin this post!
You can't win govt wishes ever!, nasikitika vijana ndipo wanapopotezea muda wao, mola awape ufahamu, times is money!Iko hivyo, hatuna mzaha kijana.
Afu habadiriki, na hajifunzi kabisa.Huyu huwa analewa madaraka mapema sana akipewa kacheo kadogo basi utamuona anatukana hadi Wastaafu.
Very shallow naona ana IQ za kutongozea Demu tu.Afu habadiriki, na hajifunzi kabisa.