Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Wewe TAKATAKA unajua maana ya Serikali? Serikali inapaswa kuwa ya WATU wote, na sio GENGE la wahuni wachache tu wenye tamaa ya kusalia madarakani MILELE.You can't win govt wishes ever!, nasikitika vijana ndipo wanapopotezea muda wao, mola awape ufahamu, times is money!