Duuh hata CHADEMA hawajaanza ziara tayari kuna watu wameanza kulialia, na bado ngoja ziara zianzeVIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
View attachment 3246408
Kusikiliza shida za wananchi zipi hizo, vyoo vya stendi na pedi za wasichana ??Up
Upinzani muwe mnajitafakari, wenzenu muda huu wanazindua miradi ya maji, mahospitali, wanakwenda kusikiliza shida Za watanzania
Naona maiti zinaanza kupiga chafyaBig hand to Ally hapi, kusema tu ya kwamba uchaguzi hautafanyika, ni kosa kamilifu la jinai.
Unapinga mipango ya serekali kwa njia ambazo pengine huenda zikahusisha ugaidi/uvurugaji wa amani na usalama wa watu.
VIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Uyu nae akili hamna arudi shambani akalime nyanya, vyombo vya dola na siasa wapi na wapi, yani ccm myakoroge wenyewe alafu mkimbilie vyombo vya dola .VIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uch anguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Ally Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu jamaa anajielewa kweli , mbona mgombea wao amepita bila kupingwa, kuwa ccm lazima ujizime dataVIDEO:
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Ally Hapi, ameviomba vyombo vya Dola kuwachukulia hatua watu wote wanaotaka kuharibu uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Matukio ya Rafu za uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na ....... Au basiVery shallow naona ana IQ za kutongozea Demu tu.
Yaani hata kujibu hoja za huyu pimbi ni kupoteza rasilimali ya muda wako tu mkuu.Washaanza kutafutanaš
Nje ya kubebwa na kulindwa hana ubabe wowote, sana sana ni mnafiki na kigeu geuHuyu alimtupa Jela Halima Mdee pale Kinondoni
Ni mbabe kama Shujaa Magafuli
Mna laana ninyi, eti mnawapenda!Tunamaanisha wao upinzani basi angalau wangekuwa wanafungua matawi ili kuimarisha vyama vyao, just a little something matters!, sasa hatuoni lolote hata dogo tu likifanyika, wapo wamengangana na ujinga wa maneno ya khanga
Sisi ccm Tunawapenda sana upinzani ndio maana na ushauri tunawapa huu ni upendo tosha kabisa kwenu.