KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Asali aliyolamba imemtosha.View attachment 2306503
Hii statement ya Ally Happy ilimuwekea ukomo wake wa kisiasa.
Ni somo kwa vijana kuwa wazee wana mizizi mirefu na hawasahau.
Katika hii Awamu ya 6, nilijua tu its a matter if time kuwa Ally Hapi atakata pumzi ya kisiasa muda ukifika.
Karibu kwenye zege ndugu Ally Hapi.