Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Alikuwa sahihi, tuna viongozi wengi wapuuzi na hawajuwi wajibu wao wakiwa kazini. Mfano Kinana, huyu jamaa alikuwa jambazi.....aliua sana tembo na wanyama wengine kuwauzia waarab na CCM wanalijuwa hili. Eti leo mnarudisha kibaka kuongoza chama, are they serious? Ukimwangalia tu usoni Kinana anaonekana ni jangili.
Ni bora anawua tembo, kuliko aliyekua anadhuru na kuua binadamu
 
Hapi,Mnyeti,gambo,byakanwa walirudi nyuma but ni ngumu kuifuta historia.Technology utunza historia.
Byakanwa alijikuta ametolewa sababu yule sio mwanasiasa, alikaa ikulu Kama vijana wa TISS alipoingia Magu akawatoa ikulu waingie field kukomesha upinzani na kuendeleza ushenzi wa legacy za kibabe za Meko.

Sasa mama alipoingia akamtoa naona kijana amerudi kwenye desk makumbusho sijui.

Halafu hawa watu wa TISS kila siku wanaona wenzao wanaokuwa seconded sehemu nyingine ambavyo mwisho wake hugeuka kuwa mwiba kwenye jamii Ila bado hawanifunzi

Mbona TISS ya akina membe wamekuwa seconded muda kwenye kila ofisi Ila wamefanya kazi vizuri na hakuna aliyewajua wala wao kujikweza kama Hawa TISS wa Sasa???

Vijana tubadilike naamini hata Rais SSH aliposema watu wanataka vyeo ila uwezo hawana ni kauli ya ukweli ambayo lazima kuitafakari.

Vijana wanakimbilia kusoma masters, PhD zile za Meko ambapo alikuwa akisikia wewe ni PhD anakupa cheo wakati uwezo wao wengi ulikuwa mdogo sana kuna haja Sasa ya kufanya kazi Ile kauli kwamba hata Katibu Kiongozi anapofanya vetting basi asiishie kwenye elimu pekee Bali aangalie pia uwezo wa huyo mtu kiuongozi.

Hawa vijana wanatudhalilisha sana mpaka anarusishwa mtu Kama Kinana pale ni sababu hakuna vijana wenye uwezo au ndio wale wenye uwezo hawaangaliwi sababu wanachukuliwa wenye viherehere pekee.
 
...Najaribu kuwa free thinker! kwa miaka mingi nimekuwa nikisia Mzee Lowasa, Kinana na kwa hivi karibuni Kikwete ilifikia wakati kijana wa Kikwete huyu naibu waziri kila kituo kipya cha mafuta kilichofunguliwa ilisemekana ni chake! Loawassa aliwahi kuwapa challenge Chadema kipindi kile wamemshikia bango kuwa ni fisadi, aliwaomba kama kuna mwenye ushahidi aende mahakamani, huyu Kinana aliwahi shutumiwa na Mchungaji Msigwa kuwa meli yake ilikuwa imebeba mankotena ya meno ya tembo, Kinana akaenda mahakamani na mahakama ikaona Msigwa ameshindwa kuthibitisha madai yake na ikamuamuru alipe fidia, aliishia kumuomba radhi Mzee Kinanan hadharani! Sasa hizi tuhuma za ufisadi zina ukweli kiasi gani au ndio mambo ya kurithishana habari za kufikirika!
Kuna mtu mmoja alisema hiki chama ni kiwanda cha kupika uongo na majungu.
Kipindi cha Jpm haohao wanaomnanga leo ndio walikua wanasifia kwelikweli Kinana pamoja Jasusi mbobezi.
Wabongo ni watu wa kuishi nao kwa akili, hawana rafiki wala adui wa kudumu.
 
Ally kabla ya kuingia ofisini mpigie simu Mzee JK msalimie,saa 4 mpigie Kinana mwambie umemtumia dagaa wa Mwanza kwenye Kisbo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
huyo dogo siasa alijiingiza kimbwigila, afiki mbali,afikirie kufanya vitu vingine after all umri wake bado
 
Piga kelele wewe.
Kuna chizi nipo nae hapa analalamika tyuuuu
 
Nafikiri CCM tumejifunza kitu, si kila mtu unaokota huko then unamleta kwenye chama chetu awe kiongozi wa kitaifa. Hawa vijana ndiyo mazao ya uongozi wa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom