😂😂😂😂😂Kanajifanya kazalendo eti kanakunja na sura kumbe kapigaji tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Kanajifanya kazalendo eti kanakunja na sura kumbe kapigaji tuu.
Umemuona Kinana tu jangili ndani ya ccm?Alikuwa sahihi, tuna viongozi wengi wapuuzi na hawajuwi wajibu wao wakiwa kazini. Mfano Kinana, huyu jamaa alikuwa jambazi.....aliua sana tembo na wanyama wengine kuwauzia waarab na CCM wanalijuwa hili. Eti leo mnarudisha kibaka kuongoza chama, are they serious? Ukimwangalia tu usoni Kinana anaonekana ni jangili.
Muda wenu umefika sukuma gang kulia kama mbwakokoWewe mwenyewe ni wa ovyo tu! Mchumia tumbo tu!
🤣🤣🤣🤣Wampenda SASHA??🤣🤣
Wako wengi na Kinana ni mmoja waoUmemuona Kinana tu jangili ndani ya ccm?
Wi-Fi 😂😂😂😂Kasenge kalikua kanaweka bonge la Wi-Fi usoni eti kaonekana kajamaa halafu kazalendo.
Leo ameanza kujikomba eti Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa!!!! Kasahau.Video inajielezaView attachment 1737768
Mungu akaona hawafai wanawaharibia watu na ameona bora arejeshe wazee!!!! Ha ha ha!!! Wameshaanza kujikomba eti ni mtu mwenye uwezo mkubwa!!! Bado kabisa!!!! Wataona tu!!!Mungu alikuwa amewapa fursa Viongozi Vijana ya kutenda yaliyo mema na yenye maadili ili waaminiwe, mwisho wake wamejikosesha wenyewe.
Ccm hakuna aliye msafiWako wengi na Kinana ni mmoja wao
Hakika kama Musiba na MakondaHuyu bwamdogo nae alivimba sana. Kifo cha magufuli kimetoa funzo kubwa sana kwa wanasiasa wachumia tumbo.
Alikuwa Mqenyekiti wa ccm mkoa huyoChalamila hana shida,,, tatizo hajui kupangilia tu sentensi[emoji134]
Kwa iyo unataka kutuaminisha baba yake aliyemlea alisingiziwa?Haka kajamaa naonaga kamefanana na mkwere...
ama ni macho yangu yanazingua!!
Sasa wakutwanga wewe🤣🤣🤣🤣Video inajielezaView attachment 1737768
MprivatePart yupo kimya mnoooo akili zimemrudi....Hapi,Mnyeti,gambo,byakanwa walirudi nyuma but ni ngumu kuifuta historia.Technology utunza historia.
Aliwataja Membe na Mzee MakambaKijana hakuweka akiba ya maneno.sasa wastaafu wanarudi.
Japo aliongea kwa ujumla hakutaja jina Wala cheo Cha mtu.
Bosi wao mwenyewe alikuwa mchunga ng'ombe aliidharau kila mtu mshenzi sana. Waache wajifunze.Madogo walikosa adabu na kuonyesha ushamba wa kudharau dharau kila mtu kisa ni mmoja waliyemwabudu.