Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
mmmhinabidi yeye ndiye atubu sasa kwa kauli zake za hovyohovyo kwa mzee kinana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmhinabidi yeye ndiye atubu sasa kwa kauli zake za hovyohovyo kwa mzee kinana
Video inajielezaView attachment 1737768
Huyu kiumbe kwa sasa bila kumeza valium hapati usingiziWatu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Ally Hapi ni chizi kama machizi wengineWatu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Vipi umerudi CCM? Umeikimbia Saccos ya CDM?Watu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Mbona ni kitu cha kawaida ndani ya CCM kuna demokrasi ya kutosha siyo Saccos ya CDM.Dah!,,magufuli aliharibu sana hawa vijana aise
Na hana aibu ni mswahili ushirikina una msaidia sn angekuwa nje ya systemSiasa ni mchezo mchafu.
Ataanza kuwasifia ili aendelee kutia mkono kinywani.
Watu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Alisema ukweli mbona ya hovyo mengi sana wamefanya hilo halina ubishi. Na bado watafanya ya hovyo zaidi mbeleni.Video inajielezaView attachment 1737768
Video inajielezaView attachment 1737768
Marehemu Mtani wangu wa Kihaya Ruge Mutahaba aliposema kuwa hapa duniani ogopa sana Mungu na Teknolojia aliona mbali mno na hakukosea ndiyo maana hata wengine tulimwona ni Nabii fulani hivi ( japo alikuwa ni Mtu wa dunia ) na hakujikita zaidi katika Masuala ya Kiimani ( Dini ) kama walivyo Manabii wengi.Watu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071