OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ally kabla ya kuingia ofisini mpigie simu Mzee JK msalimie,saa 4 mpigie Kinana mwambie umemtumia dagaa wa Mwanza kwenye Kisbo 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa mtu makini sanaMarehemu Mtani wangu wa Kihaya Ruge Mutahaba aliposema kuwa hapa duniani ogopa sana Mungu na Teknolojia aliona mbali mno na hakukosea ndiyo maana hata wengine tulimwona ni Nabii fulani hivi ( japo alikuwa ni Mtu wa dunia ) na hakujikita zaidi katika Masuala ya Kiimani ( Dini ) kama walivyo Manabii wengi.
Hakujua kuwa kuna leo na kesho?Muacheni Bana Dogo alikuwa anatetea ugali wake.
He was very Intelligent, Creative and Visionary Fella. I really miss him, but let his Soul Rest in eternal Peace.Jamaa alikuwa mtu makini sana
Wahaya wamejaliwa sana kutoa watu wenye weledi kama huyo RugeHe was very Intelligent, Creative and Visionary Fella. I really miss him, but let his Soul Rest in eternal Peace.
Kwakuwa hutumii akili zako ndiyo maana unauliza swali kama hilo.Vipi umerudi CCM? Umeikimbia Saccos ya CDM?
Alikuwaga team membe before kabla hajaamia Kwa Magufuli so kumponda membe lilikuwa ni suala la kimkakati . Hakuwa anamaanisha. He was just trying to prove his loyalty to Magufuli.Hakujua kuwa kuna leo na kesho?
Leo hii wale watu aliokuwa anawabeza kisa wametolewa kwenye system na magufuli sasa wamerudi kundini.
Atajisikiaje siku anamkuta mzee Mangula meza kuu?
Muda wake umefika sasa wa kukimbilia Mirembe akapatiwe tiba maana wabaya wake ndiyo wameshika mpini.Ally Hapi ni chizi kama machizi wengine
Hiyo ndiyo sifa kuu ya wana ccmSiasa ni mchezo mchafu.
Ataanza kuwasifia ili aendelee kutia mkono kinywani.
Wewe najua upo hapo Mlingotini ebu katuwakilishe wana JF woote utapata thawabu.Leo msoga kwa mzee kikwete kuna ubwabwa.kama upo karibu sogea sogea eneo la tukio
Aisee nimeamini kabisa kuwa hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.Huyu kiumbe kwa sasa bila kumeza valium hapati usingizi
Atavuna alichopanda sasaAlikuwaga team membe before kabla hajaamia Kwa Magufuli so kumponda membe lilikuwa ni suala la kimkakati . Hakuwa anamaanisha. He was just trying to prove his loyalty to Magufuli.
Muacheni Dogo apige Kazi wakuu msiwe na gubu kiasi hicho
Alikuwa sahihi, tuna viongozi wengi wapuuzi na hawajuwi wajibu wao wakiwa kazini. Mfano Kinana, huyu jamaa alikuwa jambazi.....aliua sana tembo na wanyama wengine kuwauzia waarab na CCM wanalijuwa hili. Eti leo mnarudisha kibaka kuongoza chama, are they serious? Ukimwangalia tu usoni Kinana anaonekana ni jangili.Watu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.
Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.
Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Wewe mwenyewe ni wa ovyo tu! Mchumia tumbo tu!Kwakuwa hutumii akili zako ndiyo maana unauliza swali kama hilo.
Mimi siwezi hata kugusa rangi za lichama lenu la hovyoo
Du! Watu wanafukua makaburi ile mbaya!Video inajielezaView attachment 1737768