Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Marehemu Mtani wangu wa Kihaya Ruge Mutahaba aliposema kuwa hapa duniani ogopa sana Mungu na Teknolojia aliona mbali mno na hakukosea ndiyo maana hata wengine tulimwona ni Nabii fulani hivi ( japo alikuwa ni Mtu wa dunia ) na hakujikita zaidi katika Masuala ya Kiimani ( Dini ) kama walivyo Manabii wengi.
Jamaa alikuwa mtu makini sana
 
Muacheni Bana Dogo alikuwa anatetea ugali wake.
Hakujua kuwa kuna leo na kesho?

Leo hii wale watu aliokuwa anawabeza kisa wametolewa kwenye system na magufuli sasa wamerudi kundini.

Atajisikiaje siku anamkuta mzee Mangula meza kuu?
 
Vipi umerudi CCM? Umeikimbia Saccos ya CDM?
Kwakuwa hutumii akili zako ndiyo maana unauliza swali kama hilo.

Mimi siwezi hata kugusa rangi za lichama lenu la hovyoo
 
Hakujua kuwa kuna leo na kesho?

Leo hii wale watu aliokuwa anawabeza kisa wametolewa kwenye system na magufuli sasa wamerudi kundini.

Atajisikiaje siku anamkuta mzee Mangula meza kuu?
Alikuwaga team membe before kabla hajaamia Kwa Magufuli so kumponda membe lilikuwa ni suala la kimkakati . Hakuwa anamaanisha. He was just trying to prove his loyalty to Magufuli.

Muacheni Dogo apige Kazi wakuu msiwe na gubu kiasi hicho
 
Alikuwaga team membe before kabla hajaamia Kwa Magufuli so kumponda membe lilikuwa ni suala la kimkakati . Hakuwa anamaanisha. He was just trying to prove his loyalty to Magufuli.

Muacheni Dogo apige Kazi wakuu msiwe na gubu kiasi hicho
Atavuna alichopanda sasa
 
Kila enzi na muda wake na hao wazee sio wanaomteua hivo sioni km kuna haja ya kuachia nafac yake
 
Watu wanasema kuwa mitandao ni jambo la hatari kwa kuweka kumbukumbu hapa duniani.

Ally Happy wakati yupo Iringa alitoa maneno makali na ya dharau kubwa kwa viongozi wetu wastaafu kisa alikuwa chini ya Magufuli.

Leo hii hao wazee wetu na Nape wamerudishwa ndani ya chama inabidi Happy aliye watukana basi awachie nafasi yake .View attachment 2171071
Alikuwa sahihi, tuna viongozi wengi wapuuzi na hawajuwi wajibu wao wakiwa kazini. Mfano Kinana, huyu jamaa alikuwa jambazi.....aliua sana tembo na wanyama wengine kuwauzia waarab na CCM wanalijuwa hili. Eti leo mnarudisha kibaka kuongoza chama, are they serious? Ukimwangalia tu usoni Kinana anaonekana ni jangili.
 
Back
Top Bottom