Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Leo Gwajima ni Mkubwa kuliko bashiteEnzi zile bashite aliwaambia wabunge wote warudi dodoma asiwaone mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo Gwajima ni Mkubwa kuliko bashiteEnzi zile bashite aliwaambia wabunge wote warudi dodoma asiwaone mjini
Mkuu jana nimeipitia tena press yake pale youtube najiskia kucheka tu jamaa hakusoma alama za nyakati
Wakati wa JPM waliona atatawala milele. Kumbe wakati wowote na saa Mungu anaweza badilisha Mambo..utoto ulimsumbua na kukosa hekima.kapata somo na fundisho.wajue hiyo v8 na cheo saa yoyote huna ."Utawaambiaje wazee wastaafu wafunge midomo muda wao umeisha"
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahaha kwani mzee wa msoga yupo humuWatu mnajua kuwachomea nazi wenzenu
HahahaDogo kwa sasa hata kujamba anajiuliza sio kipindi cha magu walikua wanakunya kabisa hadharani
AHahahahahaAlisema atamzima JK [emoji1787]
Hahahahaha...Hata kujamba hepi ajambe kwa kutulia
Mji..nga yule sasa hivi anakesha kwa waganga.Kwa sasa amekuwa mkimya sana yaani inawezekana anawasiwasi mkubwa sana sababu wale wazee wastaafu kuwatolea kauli chafu kama zile ilikuwa si jambo jema tena kwa kijana mchanga kwenye siasa
Wale wazee aliowatisha na kuwaponda mbele za waandishi wa Habari, kwa sasa wapo karibu sana na Madam hasa Jk
Bwana mdogo inawezekana kwa sasa anajuta sana huko alipo yaani yawezekana kila kukicha anasali tu jk asije akamsagia kunguni maana akikumbuka yale maneno yake hana amani.
Hili ni fundisho kwa vijana ukipata madaraka ya kuteuliwa kuwa makini sana maana wengi hudhani wanaowateua wataishi milele kumbe kuna kifo
Angekuepo mkristo angeshatolewa siku nyingi kwenye hiyo nafasi dini ndio inamlinda tokea mama aingie madarakani hajawahi kumtoa muislam kwenye position yake except Bashiru Ally tuu. Mama amekuepo akiwatoa wakristo katika position tuuKwa sasa amekuwa mkimya sana yaani inawezekana anawasiwasi mkubwa sana sababu wale wazee wastaafu kuwatolea kauli chafu kama zile ilikuwa si jambo jema tena kwa kijana mchanga kwenye siasa
Wale wazee aliowatisha na kuwaponda mbele za waandishi wa Habari, kwa sasa wapo karibu sana na Madam hasa Jk
Bwana mdogo inawezekana kwa sasa anajuta sana huko alipo yaani yawezekana kila kukicha anasali tu jk asije akamsagia kunguni maana akikumbuka yale maneno yake hana amani.
Hili ni fundisho kwa vijana ukipata madaraka ya kuteuliwa kuwa makini sana maana wengi hudhani wanaowateua wataishi milele kumbe kuna kifo
DuuhAngekuepo mkristo angeshatolewa siku nyingi kwenye hiyo nafasi dini ndio inamlinda tokea mama aingie madarakani hajawahi kumtoa muislam kwenye position yake except Bashiru Ally tuu. Mama amekuepo akiwatoa wakristo katika position tuu
sasa ndo kashika serikali 🤣🤣🤣🤣Alisema atamzima JK 🤣
Sasa hvi akiropoka tu ....