Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Akina Jerry Muro, kimya kama wafuNa ametulia kweli kama maji mtungine. Ilikua wiki haipiti usisikie habari zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Jerry Muro, kimya kama wafuNa ametulia kweli kama maji mtungine. Ilikua wiki haipiti usisikie habari zake
mmhUsitukane wakunga, uzazi ungaliupo...
Walahi huyu mwananchi nilishamsahau mie!!Akina Jerry Muro, kimya kama wafu
Nimekukumbusha sasaWalahi huyu mwananchi nilishamsahau mie!!
Tena hadi bombaYani sasahivi akitingishika tu sindano inaingia[emoji23][emoji23][emoji23] akae kwa kutulia
Walipata Kazi sio kwa weledi bali kwa tabia alizotaka baba.Huo ndio ulikuwa uhalisia na tabia zao
Yaani wote waliokuwa na Kiburi na majivuno wakati huo na sasa wameingiza mikia nyuma
Inadhihirisha tabia zao za mwanzo ndio zilikuwa kweli ila sasa wanaona baba hayupo wa kuwapigia simu na kuwapongeza kwa ubaya
Tabia haibadiliki hizo ndio zilikuwa tabia zao hata huyo dogo anaesota jela asili yake ni jambazi tu
Sasa hvi akiropoka tu ....Na ametulia kweli kama maji mtungine. Ilikua wiki haipiti usisikie habari zake
KumbeeAna bahati si mgalatia.
Hahahaha akiropoka tu jk lazima akamsagie kunguni hahahaYani sasahivi akitingishika tu sindano inaingia[emoji23][emoji23][emoji23] akae kwa kutulia
Mkuu jana nimeipitia tena press yake pale youtube najiskia kucheka tu jamaa hakusoma alama za nyakatiHuo ndio ulikuwa uhalisia na tabia zao
Yaani wote waliokuwa na Kiburi na majivuno wakati huo na sasa wameingiza mikia nyuma
Inadhihirisha tabia zao za mwanzo ndio zilikuwa kweli ila sasa wanaona baba hayupo wa kuwapigia simu na kuwapongeza kwa ubaya
Tabia haibadiliki hizo ndio zilikuwa tabia zao hata huyo dogo anaesota jela asili yake ni jambazi tu
Wote kimya afadhali hata muro ana kaunafuuAkina Jerry Muro, kimya kama wafu
Enzi zile bashite aliwaambia wabunge wote warudi dodoma asiwaone mjiniTumetoka mbali zama zile baba yao akinangwa walishindana kujibu mashambulizi kutetea utopolo.Huku bashite anapokea gambo anakuja chalamila speaker mbovu anamaliza sabaya Musiba majura akiwa refarii leo wameufyata msemo wa kizanzibari.
WAMEUFYATA
Jl[emoji23][emoji23][emoji23]Kobazi zimemsaidia angekuwa mgalatia mama angekula kichwa hata JK anamkaushia sababu ya kobazi
Walipata Kazi sio kwa weledi bali kwa tabia alizotaka baba.