Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Mungu alikuwa amewapa fursa Viongozi Vijana ya kutenda yaliyo mema na yenye maadili ili waaminiwe, mwisho wake wamejikosesha wenyewe.
Vijana walilewa madaraka haraka sana. Matako yaliwalia mbwata mapema sana.
Lakini tusiwalaumu sana hawa vijana waliopata fursa halafu wakaitumia kunyanyasa wananchi, tujiulize sisi pia ambao hatujapata hiyo nafasi ikiwa tusingekengeuka kuliko wao.
 
kilichonifurahisha ni body language ya Hapi , Yaani utadhani ni nabii Nuhu anapandisha wanyama kwenye Safina yake !

Kanamuiga Nyerere hapo kwenye kuongea. Eti anakunja na sura, anarudiarudia maneno, kustammer kwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yani hawa vijana ni washamba sijawahi kuona! Huu wote ni ushamba na ulimbukeni. Kwa kweli turudi tu kwa wazee kwenye hizi nafasi. Hawa wafundishwe na wapate experience ya uongozi kwa nafasi ndogo ndogo kwanza. Twende ngazi kwa ngazi.
 
Kanamuiga Nyerere hapo kwenye kuongea. Eti anakunja na sura, anarudiarudia maneno, kustammer kwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yani hawa vijana ni washamba sijawahi kuona! Huu wote ni ushamba na ulimbukeni. Kwa kweli turudi tu kwa wazee kwenye hizi nafasi. Hawa wafundishwe na wapate experience ya uongozi kwa nafasi ndogo ndogo kwanza. Twende ngazi kwa ngazi.
Kapelekwa Tabora akalogwe huko !
 
Kwa sasa amekuwa mkimya sana yaani inawezekana anawasiwasi mkubwa sana sababu wale wazee wastaafu kuwatolea kauli chafu kama zile ilikuwa si jambo jema tena kwa kijana mchanga kwenye siasa

Wale wazee aliowatisha na kuwaponda mbele za waandishi wa Habari, kwa sasa wapo karibu sana na Madam hasa Jk

Bwana mdogo inawezekana kwa sasa anajuta sana huko alipo yaani yawezekana kila kukicha anasali tu jk asije akamsagia kunguni maana akikumbuka yale maneno yake hana amani.

Hili ni fundisho kwa vijana ukipata madaraka ya kuteuliwa kuwa makini sana maana wengi hudhani wanaowateua wataishi milele kumbe kuna kifo
 
Kwa sasa amekuwa mkimya sana yaani inawezekana anawasiwasi mkubwa sababu wale wazee wastaafu, aliwaitisha waandishi wa Habari akaishia kuwaponda kwa sasa wapo karibu na Madam

Bwana mdogo inawezekana kwa sasa anajuta sana huko alipo yaani yawezekana kila kukicha anasali tu jk asije akamsagia kunguni maana akikumbuka yale maneno yake hana amani.

Hili ni fundisho kwa vijana ukipata madaraka ya kuteuliwa kuwa makini sana maana wengi hudhani wanaowateua wataishi milele kumbe kuna kifo
Ana bahati si mgalatia.
 
Kwani makonda ak bashite ana cheo gani? Je hapi ana cheo gani? Naomba mnijuze wenzangu.
 
Huo ndio ulikuwa uhalisia na tabia zao
Yaani wote waliokuwa na Kiburi na majivuno wakati huo na sasa wameingiza mikia nyuma

Inadhihirisha tabia zao za mwanzo ndio zilikuwa kweli ila sasa wanaona baba hayupo wa kuwapigia simu na kuwapongeza kwa ubaya
Tabia haibadiliki hizo ndio zilikuwa tabia zao hata huyo dogo anaesota jela asili yake ni jambazi tu
 
Back
Top Bottom