Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Mzee wa “Aah mgangaa...mganga mfawidhii, ila mie bado nina mke mmoja!”
 
Nilimsikia kiongozi mmoja akisema "...ndiyo maana nimemweka waziri kichaa kama mimi" kumbe kwenye timu kulikuwa na vichaa wengi si yeye na waziri tu
1620978978107.png
 


"Lakini wasituharibie nchi yetu"

Huyu naye siku zake zinahesabika, nchi yake yeye na nani?

Kule Iringa njiapanda karibu na daraja kuu la mto ruaha ameweka bango kubwa la kumsifia Samia linasema " Hongera Rais Samia Hassan tuko pamoja nawe"

Wajuzi wa falsafa wanasema lina viini vya kujiendekeza
 
Amtumie ili ayarudishe mdomoni yasisike au iweje sasa.Kwamba wengine wasijue alipata kunena uchafu km huo.kulindana siyo,kumficha WATU wachafu na uchafu wao.Hakika zama hizo zimepita.
We jamaa mbona unafukua makaburi?Hii ungemtumia inbox mkuu
 
Ni kama mtoto amekuwa na kudharau wazazi wake zama zenu zimeisha. kauli mbaya sana hii sijui alikuwa anawaza nini huyu dogo nafasi zenyewe hizi za hisani.
Mapumbavu sana hayo mavijana,yalimtegemea mwanadamu ambaye hana guarantee,yakatukana sana wazee waliyoyafanya yaonekane,sasa yanaona aibu tu pumbavu zao
 
We jamaa mbona unafukua makaburi?Hii ungemtumia inbox mkuu
Tunatoka tuyafukue makaburi na kuyapima mafuvu yao kama yalikuwa na ubongo wa binadamu. Pia kama alivyosema Mwendazake tutayapiga bakora hayo makaburi Yao.
 
"Lakini wasituharibie nchi yetu"

Huyu naye siku zake zinahesabika, nchi yake yeye na nani?

Kule Iringa njiapanda karibu na daraja kuu la mto ruaha ameweka bango kubwa la kumsifia Samia linasema " Hongera Rais Samia Hassan tuko pamoja nawe"

Wajuzi wa falsafa wanasema lina viini vya kujiendekeza
Njaa mbaya Sana.
 
JK anatikisa miguu juu anacheka tu huyu dogo wa Iringa siku zake zahesabika .....labda miujiza itokee
 
Back
Top Bottom