Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamerudi kivingine. Jiandae.Video inajielezaView attachment 1737768
Watakimbia vivuli vyao.Ni fedheha na aibu kubwa akiangalia nyuma
Kote huko ilikuwa ni kutafuta sifa na tonge
Sasa hapo kaongea nini kibaya???Video inajielezaView attachment 1737768
Video inajielezaView attachment 1737768
We jamaa mbona unafukua makaburi?Hii ungemtumia inbox mkuu
Mapumbavu sana hayo mavijana,yalimtegemea mwanadamu ambaye hana guarantee,yakatukana sana wazee waliyoyafanya yaonekane,sasa yanaona aibu tu pumbavu zaoNi kama mtoto amekuwa na kudharau wazazi wake zama zenu zimeisha. kauli mbaya sana hii sijui alikuwa anawaza nini huyu dogo nafasi zenyewe hizi za hisani.
Tunatoka tuyafukue makaburi na kuyapima mafuvu yao kama yalikuwa na ubongo wa binadamu. Pia kama alivyosema Mwendazake tutayapiga bakora hayo makaburi Yao.We jamaa mbona unafukua makaburi?Hii ungemtumia inbox mkuu
Sasa hapo kaongea nini kibaya???
rais samia hqtochelewa kumtoa na huyu, sitashangaa!
Njaa mbaya Sana."Lakini wasituharibie nchi yetu"
Huyu naye siku zake zinahesabika, nchi yake yeye na nani?
Kule Iringa njiapanda karibu na daraja kuu la mto ruaha ameweka bango kubwa la kumsifia Samia linasema " Hongera Rais Samia Hassan tuko pamoja nawe"
Wajuzi wa falsafa wanasema lina viini vya kujiendekeza
Sema kimeumana !Video inajielezaView attachment 1737768
kilichonifurahisha ni body language ya Hapi , Yaani utadhani ni nabii Nuhu anapandisha wanyama kwenye Safina yake !JK anatikisa miguu juu anacheka tu huyu dogo wa Iringa siku zake zahesabika .....labda miujiza itokee
Naunga mkono hoja. Vijana bado hatujawa tayari kuongoza.Vijana wenzetu hawa,hawana adabu kabisa.
Ni kama walilelewa vibaya
na wazazi wao.
Heri turudi kwenye kuteua
wazee,wawe maDC&maRC.
Siku hizi hakuna miujiza.JK anatikisa miguu juu anacheka tu huyu dogo wa Iringa siku zake zahesabika .....labda miujiza itokee